Meli ya mizigo yazama Tanga

duh...hali ya bahari vipi wadau

mzee wa kifaduro, ni mwaka wa shetani huu, ndo tunaelekea kuazimisha 50yrs of independence. labda kwako huo ndo uhuru. si huwa unatetea kila kinachowahusu ninyi watawala?
 
SUMATRA Ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, wamesinzia, wanasubiri kupewa madesa ndio wakague meli na mabasi.
 
Na yenyewe ilizidisha mzigo? au mabaharia walizidi badala ya kuwa watatu wakawa saba.
 
tujiulize ni kwa nini haya matukio yanatokea? je ni njia gani zitumike,yapi yakurekebisha ili yasitokee tena?
 
Na tukumbuke kuwa Bwana Mungu wetu anatupenda sote, na ndio maana ametupa limwengu huu tuutawale, nasi tunafanya kinyume cha maagizo yake yote kwa kukaidi.
 
ina
wezekana imechafuka au haijakaa sawa mkuu au bahari inajifanyia matambiko
Mkuu mbona matambiko mengi tu!! Baharini huko Zanzibar na Tanga, jana tumesikia nchi kavu huko Morogoro bado Reli tumalize mzunguko wa SUMATRA . Nchi yangu inaangamia kwa kukosa maarifa!!
 
ok boti..soma vizuri bandiko langu nimeandika meli/boti siana mda wa kuanza kuchambua wewe jua tu kuna chombo cha baharini kimezama hata kama kimebeba mtu mmoja lakini ni roho za watu kimebeba ..hizi roho zenu mbaya na dharau zitawaua ..nakujua sana wewe ndio Lundega

Akanushe!!!
 
Kama kuna kiongozi yeyote yule anawasiliana na utawala wa giza, haya mambo ya ajabu ajabu lazima yatokee....
 
Hizo ni fununu nazo sikia kutoka kwenye chombo cha habari kimoja hapa Tanzania, bado wanazidi kufatilia
2taendelea kujuzana na mtu akipata habari kamili atujuze
 
Back
Top Bottom