Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
kuna meli ya mizigo inaitwa Sarobo imezama Tanga asubuhi hii ya leo ilikuwa inatoka Tanga kwenda Pemba..mabaharia saba walikuwa ndani ya hiyo meli wamepatikana salama.. Kama kuna mtu mwenye more details kuhusu hili tukio tupeane updates...
Sina hakika na hilo jina la meli/boti may be nimekosea spellings tutawiana radhi
source:JF
My take: Kama viongozi wetu wangekuwa wastaarabu wanegoa tamko la kuvikagua vyombo vyote vya majini na liseni zao..nashangaa hadi sasa hivi wapo kimya
Sina hakika na hilo jina la meli/boti may be nimekosea spellings tutawiana radhi
source:JF
My take: Kama viongozi wetu wangekuwa wastaarabu wanegoa tamko la kuvikagua vyombo vyote vya majini na liseni zao..nashangaa hadi sasa hivi wapo kimya