Meli ya kisasa ya kivita iliyotengenezewa Urusi yatia nanga Kenya kwa mazoezi ya pamoja na KDF....sema nyoko uone

Hiyo ya Tz ni training tofauti , Lakini Excercise ya Cutlass Express 21 ya baharini Inayohusisha hizo meli zote inafanyika pwani ya Mombasa .. hii hapa taarifa kamili kutoka US navy.


-------------

The Multinational, Maritime Exercise Cutlass Express 21 Begins in Mombasa​

By U.S. Naval Forces Europe and Africa / U.S. Sixth Fleet Public Affairs
MOMBASA, Kenya – Maritime forces from East Africa, West Indian Ocean nations, Europe, North America, and several international organizations began the multinational maritime exercise Cutlass Express 2021 (CE21) with an opening ceremony held at the Bandari Maritime Academy in Mombasa, Kenya, July 26, 2021.

"Partnerships are the key to stability in Africa. Exercises like Cutlass Express bring like-minded partners together, spark discussion and collaboration, and help generate African-led solutions,” said Gen. Stephen Townsend, commander, U.S. Africa Command. “These partnerships allow us to better counter malign actors while improving security and prosperity on the continent."

CE 21, sponsored by U.S. Africa Command and led by U.S. Naval Forces Europe-Africa, U.S. Sixth Fleet, assesses and improves combined maritime law enforcement capacity, promotes national and regional security in East Africa, and increases interoperability between the U.S., African nations and international partners.

This year’s exercise leverages the recently adopted Jeddah Amendment to the Djibouti Code of Conduct, which 14 nations are signatories, as a framework for exercising information sharing practices and enforcing marine rule of law. The participating nations will be testing their ability to counter illicit trafficking, piracy, illegal fishing, as well as search and rescue situations.

“The Western Indian Ocean has been rife with many maritime challenges for a prolonged period of time due to the porous vast sea area,” said Brig. Thomas N. Nganga, Kenya Navy base commander, Mtongwe. “Through cooperation, sharing of information and combined training among the local bilateral and multilateral cooperation, there has been tremendous improvement in maritime security.”

The exercise will improve Maritime Domain Awareness (MDA), information sharing between Maritime Operation Centers (MOCs), maritime interdiction, adherence to the rule of law, and counter-proliferation interdiction capabilities in order to strengthen safety and security in East Africa.

The exercise begins with an in-port training period followed by at-sea scenarios and concludes with a senior leadership symposium. The underway portion of the exercise tests the ship’s abilities to conduct maritime interdiction operations (MIO) by boarding teams against simulated suspect vessels, detecting illicit activity, and follow-on evidence collection procedures.

The valuable operational experience gained during Cutlass Express contributes to participating countries ability to suppress and counter illegal activities, including piracy, arms trafficking, human smuggling, drug trafficking, and illegal trade in wildlife.

CE 21 is one of three U.S. Naval Forces Europe-Africa/U.S. Sixth Fleet -facilitated regional exercises undertaken to provide African forces and international partners with collaborative opportunities on comprehensive maritime security concerns.

Exercises like Cutlass Express in East Africa/Western Indian Ocean, Obangame Express in the Gulf of Guinea, and Phoenix Express in the Mediterranean fall under the international collaborative maritime capacity-building program Africa Partnership Station (APS) as part of a phased approach to building enduring relationships and combined capacity to ensure the safety and security of the regional maritime environment.

"We look forward to the start of Cutlass Express (CE21) as we strengthen our mil-mil relationships and continue to build regional partnerships," said U.S. Naval Forces Europe-Africa, Reserve Detachment 118 Commanding Officer, Capt. Cannon Neslen. "CE21 provides an increased opportunity to demonstrate interoperability among African, European, West Indian Ocean, and U.S. maritime forces and to improve combined maritime law enforcement capacity and maritime security."

Participating nations in Cutlass Express 2021 include Comoros, Djibouti, Georgia, India, Kenya, Madagascar, Mauritius, Mozambique, Rwanda, Seychelles, Somalia, Sudan, Tanzania, United Kingdom, and the United States.

U.S. Africa Command, headquartered in Stuttgart, Germany, is one of 11 U.S. Department of Defense combatant commands, each with a geographic or functional mission that provides command and control of military forces in peace and war.

AFRICOM employs the broad-reaching diplomacy, development, and defense approach to foster interagency efforts and help negate the drivers of conflict and extremism in Africa.

U.S. Naval Forces Europe-Africa, U.S. Sixth Fleet, headquartered in Naples, Italy, conducts the full spectrum of joint and naval operations, often in concert with allied and interagency partners in order to advance U.S. national interests and security and stability in Europe and Africa.
Hiyo ya huko tupo then kuna nyingine kati ya TZ na USA ya wiki 6,ndio niliyoisemea mimi

Screenshot_20210729-111241_Twitter.jpg
 
Hiyo ya huko tupo then kuna nyingine kati ya TZ na USA ya wiki 6,ndio niliyoisemea mimi

View attachment 1872588
Hizo za joint training ya special forces tumezifanya nyingi sana , mpaka sikuhizi tunashiriki katika mashindano ya SOF duniani kwa mfano kule Jordan... Kwenye mashindano ya Annual Warrior competition.


Kuna mashindano mengine kule Texsas pia tumeshiriki.... Yani mashindano makali, timu ya kama mtu 7 ya KDF inaenda head to head na timu ya Delta force au Navy Seals. Yani mnapewa targets Kila timu inahesabiwa dakika walizochukua kumaliza adui, atakayepata points nyingi anaenda next stage kupambana na timu nyingine hadi mwisho wa siku the best team wins... Kuna section flani ya mashindano tulikua number 3 tukashtua special forces wa nchi zengine waliobobea kama kina Israel na UK . Tunavyo zaidi kushiriki ndo tunabobea na kujifunza tactics tofauti tofauti tunazoziona huko kwa nchi zilizo na uzoefu wa kufanya haya mambo....

Kwahivyo kwa kifupi, joint training si Jambo la kushangaza, hili la navy ships ndo sijawahi kuona ikifanyika huku.
 
Wanajeshi kutokea mataifa kadhaa (USA, India, UK n.k.) kuhusika kwenye haya mazoezi ya pamoja.....mwendo wa kutunisha misuli kuonyesha ubabe au kwa kifupi nani baba lao.....jifanye kama unajikuna tuone.

Brahmos cruise missile

Brahmos cruise missile

INS Talwar ship lands at the coast in Mombasa on Tuesday, July 27

INS Talwar ship lands at the coast in Mombasa on Tuesday, July 27
TWITTER

INS Talwar, classified as one of the most advanced Russian-built warships, landed in Mombasa in order to conduct maritime security exercises alongside the Kenya Defence Forces (KDF).

The security exercises are aimed at assessing and improving the region's maritime security operations as well as increase interoperability among the navies within the East African region.

It is slated to conclude on Friday, August 6.
The exercise will involve participation from the USA, UK, India and international organisations such as Interpol, International Maritime Organisation (IMO), United Nations Office on Drugs and Crime (UNODC), European Union Naval Force (EUNAVFOR), and EUCAP Somalia.

During its stay, the ship will serve as host to a number of events to build stronger bridges of friendships with Kenya and the international community.

Features
The high-tech warship was originally built for the Russian army but the Talwar vessel was among the class III frigates commissioned to the Indian Navy after the Indian government inked a Ksh250 billion deal with Russia.

It incorporates stealth technologies whereby the topside and hull sections are designed to reduce detection from other ships in its radar.

The ship is also fitted with BrahMos Cruise Missiles- regarded as the fastest supersonic missile in the world. The missiles use active radar guidance with a maximum range of 220 kilometers.

The ship is also fitted with a medium-range surface-to-air missile system which is ideal to counter threats on land.

The system has a total of 24 missiles accommodated in a magazine located below deck. These types of missiles have a range of 45 kilometers and use inertial guidance and semi-active radar guidance.


  • The vessel’s main gun is a forward-fitted AK-190. Its design incorporates stealth technology to reduce the radar signature of the ship. The gun has a firing rate of 60 rounds a minute and can engage targets within a range of 15.2 kilometers.
    The Talwar vessel also has a close-in weapon system. This includes two close-range guns and surface-to-air missile clusters.
    It is also fitted with a control system that involves full-color operator workstations and three central servers. The system manages and controls all weapons on board, develops combat missions depending on the situation.
    Other systems incorporated in the vessel include countermeasure systems and Anti-submarine warfare technologies.

    FILE


Yaa mnahitaji kusaidiwa chakula na ulinzi. Maana kwenye nafasi za kimataifa mnatisha.

CC: joto la jiwe

 
Yaa mnahitaji kusaidiwa chakula na ulinzi. Maana kwenye nafasi za kimataifa mnatisha.

CC: joto la jiwe

Inakuaje basi watanzania wengi wanakufa kuliko wakenya? Mko na amani, mko na chakula, mko na maji.. lakini bado mnakufa kwa wingi kuliko Kenya!
 
Inakuaje basi watanzania wengi wanakufa kuliko wakenya? Mko na amani, mko na chakula, mko na maji.. lakini bado mnakufa kwa wingi kuliko Kenya!

Sijakuelewa, maana unaongea bila hata kuwa na kitu hususa.
 
ndio maana nimesema mnachotuzidi ni kiingereza tu, tena chenye lafudhi ya kenya, vingine vyote mataputapu. au hukunielewa?
Halo zezeta leo hujankunwa kikombe ya kiti-mtu soup na pilipili
Madudu ya ccm kichwan nenda uza toronto upssss tabo.ra
 
Nilipotazama tu hizo picha za meli ya kivita, nikajua lazima kuna mtu kakurupuka kuandika, nilipoangalia na picha ya tangazo la nafasi za kazi eti kwa walimu wa waliosoma Kenya, nikajua kuna mtu ana matatizo hasa ya elimu ndogo au wakati wenzake wakisoma yeye alikuwa anawaza karanga na njugu.
We jamaa angalia vizuti hizo picha za meli na hilo tangazo la nafasi za kazi kama haujaona ujanja wa watoto wa mjini, achana na hii habari, unazidi kujionyesha kuwa haujui kitu.
 
Wanajeshi kutokea mataifa kadhaa (USA, India, UK n.k.) kuhusika kwenye haya mazoezi ya pamoja.....mwendo wa kutunisha misuli kuonyesha ubabe au kwa kifupi nani baba lao.....jifanye kama unajikuna tuone.

Brahmos cruise missile

Brahmos cruise missile

INS Talwar ship lands at the coast in Mombasa on Tuesday, July 27

INS Talwar ship lands at the coast in Mombasa on Tuesday, July 27
TWITTER

INS Talwar, classified as one of the most advanced Russian-built warships, landed in Mombasa in order to conduct maritime security exercises alongside the Kenya Defence Forces (KDF).

The security exercises are aimed at assessing and improving the region's maritime security operations as well as increase interoperability among the navies within the East African region.

It is slated to conclude on Friday, August 6.
The exercise will involve participation from the USA, UK, India and international organisations such as Interpol, International Maritime Organisation (IMO), United Nations Office on Drugs and Crime (UNODC), European Union Naval Force (EUNAVFOR), and EUCAP Somalia.

During its stay, the ship will serve as host to a number of events to build stronger bridges of friendships with Kenya and the international community.

Features
The high-tech warship was originally built for the Russian army but the Talwar vessel was among the class III frigates commissioned to the Indian Navy after the Indian government inked a Ksh250 billion deal with Russia.

It incorporates stealth technologies whereby the topside and hull sections are designed to reduce detection from other ships in its radar.

The ship is also fitted with BrahMos Cruise Missiles- regarded as the fastest supersonic missile in the world. The missiles use active radar guidance with a maximum range of 220 kilometers.

The ship is also fitted with a medium-range surface-to-air missile system which is ideal to counter threats on land.

The system has a total of 24 missiles accommodated in a magazine located below deck. These types of missiles have a range of 45 kilometers and use inertial guidance and semi-active radar guidance.


  • The vessel’s main gun is a forward-fitted AK-190. Its design incorporates stealth technology to reduce the radar signature of the ship. The gun has a firing rate of 60 rounds a minute and can engage targets within a range of 15.2 kilometers.
    The Talwar vessel also has a close-in weapon system. This includes two close-range guns and surface-to-air missile clusters.
    It is also fitted with a control system that involves full-color operator workstations and three central servers. The system manages and controls all weapons on board, develops combat missions depending on the situation.
    Other systems incorporated in the vessel include countermeasure systems and Anti-submarine warfare technologies.

    FILE
We jamaa inaonakana unapapenda sana bongo , maana kila kitu lazima ulinganishe na bongo , mbona sisi wabongo hua hatuna time na Kenya aisee , yani sijui hua hauna kazi ya kufanya , kila siku kutafuta vitu vya kulinganisha , haya sasa hilo meli limewaletea msosi au VIP ,
Karibu bongo land mkuu huku ni fulu amani , huku hakuna alshabab
 
We jamaa inaonakana unapapenda sana bongo , maana kila kitu lazima ulinganishe na bongo , mbona sisi wabongo hua hatuna time na Kenya aisee , yani sijui hua hauna kazi ya kufanya , kila siku kutafuta vitu vya kulinganisha , haya sasa hilo meli limewaletea msosi au VIP ,
Karibu bongo land mkuu huku ni fulu amani , huku hakuna alshabab

Hehehe!! Mnavyoweweseka, wapi hapo Bongo imetajwa, jiwe la gizani limekukuta....
 
Hehehe!! Mishipa imekutoka hadi kichwani ila ndio ukweli wenyewe, sisi ndio baba lao ukanda huu, nyie mlishaangukia pua, hamna ushawishi wowote kidiplomasia, kainchi ketu kadogo kamewazidi kiuchumi mara mbili, tunawazidi kijeshi, kielimu na kila kitu.
Leo mtatokwa povu kama zote, mjikusanye na kutoa andiko moja ili nwape jibu la ukweli wenu, sio kila mtu anaparamia ili aonekane na yeye yumo.
Kijeshi? Hebu tupe kipimo ukichotumia kupima ubabe wa kijeshi
 
Yaa mnahitaji kusaidiwa chakula na ulinzi. Maana kwenye nafasi za kimataifa mnatisha.

CC: joto la jiwe


Haiya dayaspora wa Buza bado upo??? Bado unahangaika humu....hehehe....ulibaki na juha mwenzio Gwajima aliyekua mshauri wa mwenda zake mpaka akamponza kwa mambo ya corona na kusababisha msiba wa kujitakia, naona wenzako wote walishatia akili na kuanza kuchanjwa.....


2859969_IMG-20210727-WA0074.jpg
 
MK254 sisi tungekuwa na akili ccm isingekuwepo Leo madarakani hivyo mkuu usipoteze nguvu kubishana na sisi watanzania vibwengo mbilikimo wa akili.

Chama hakina shida yoyote. Shida ni watu. Kama suala ni vyama mbona Malawi, Zambia, Kenya wamebadilisha vyama lkn hamna la maana wanalofanya. Lkn pia ukienda China, Cuba, Botswana, Namibia wana vyama vile vile lakini maendeleo yao ni makubwa mno.
 
That is another topic bro. Talk about the issue at hand.
No it's not. Unasema Kenya ni dangerous... na pia ukasema tunahitaji kusaidiwa kwa ulinzi na chakula.....So what happens when there is no security and there is no food?..... Vifo kwa wingi... So inakuaje Watanzania wengi wanakufa kuliko wakenya licha ya nyinyi kua nchi ya amani tena yenye maziwa na asali.
 
Back
Top Bottom