eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 15,629
- 13,764
No it's not. Unasema Kenya ni dangerous... na pia ukasema tunahitaji kusaidiwa kwa ulinzi na chakula.....So what happens when there is no security and there is no food?..... Vifo kwa wingi... So inakuaje Watanzania wengi wanakufa kuliko wakenya licha ya nyinyi kua nchi ya amani tena yenye maziwa na asali.
No, I can't utter anything, coz you are talking without citing any authority.