We jamaa hua nakukubali Sana siamini Kama NI wewe uliyeandka hiviHawa si ndio walidungua ndege yao moja ya abiria...
Kuna siku watakuja kufungualia valfu za Nyukilia halafu waseme ni bahati mbaya.
Trump and USA wapo sahihi kuzuia hawa jamaa wasimiliki silaha za nyuklia, akiri zao tu haziwatoshi alafu uwakabidhi nuclear button kweliHawa si ndio walidungua ndege yao moja ya abiria...
Kuna siku watakuja kufungualia valfu za Nyukilia halafu waseme ni bahati mbaya.
Kwa akili zako,wairani ni waarabu!!!Shida ya warabu ni upuuzi..
Unakuta hapo Mkuu wa wana maji na wenzake wamekaa, wakajadiliana sasa wazamishe moja ya Meli zake ili tu Kuwaonyesha wamarekani kua tunao uwezo wa kuzamisha Meli vita zako hata kama zipo kwa mwondoko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosea sana. Kwani Ibrahimu alikuwa MuajemiWaajemi hao ,Ila ndo wale wale mazalia ya Ishmael ( mama mmisiri) baba yao ni Ibrahim aliyemzaa Isaka toka kwa mama muisrael ,Isaka ambaye ni baba wa waisrael.Unaweza kunisahihisha Mkuu kama nmekosea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Trump and USA wapo sahihi kuzuia hawa jamaa wasimiliki silaha za nyuklia, akiri zao tu haziwatoshi alafu uwakabidhi nuclear button kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
The missile ignored fake/decoy target and nailed an actual ship.This has hallmac of MOSSAD covert operations,hii lazima ilidukuliwa na majasusi wa uzayuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana wakijichanganya tu Hao US wanatunguliwa nahao wasio nawelediHalafu hili jeshi Oga, Zembe, Lisilo na Weledi wa Kutumia Silaha za Kisasa linataka kujitanua kifua kupambana na USA !
Wawazuie sasa wanangojea niniTrump and USA wapo sahihi kuzuia hawa jamaa wasimiliki silaha za nyuklia, akiri zao tu haziwatoshi alafu uwakabidhi nuclear button kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
This has hallmac of MOSSAD covert operations,hii lazima ilidukuliwa na majasusi wa uzayuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Wairan waarabu pia, kuna wairan wa Pakistani (baluchi) pia Saudi Arabia kuna wa persia Eastern Saudi Arabia na Bahrain kwa kifupi jamii hizo za kiajemi zinaingiliana sana na siku hizi na waarabu hata muonekano wa sura ni vigumu kutofautisha ni lugha tu la lafudhi zina utafautiduuuhhh kwaiyo watoto wa ishamael ni wajapan?.
Ishamel ni Baba wa Waarabu ...
Hao wairan ni waajemi , ( origin yao sijui vzuri).
Gugo inaonyesha kuna wa Iran-wakurd ...wairan-waPersians.wairan-Azers .
Wewe Wa elewa nn kuhusu wairan Mkuu?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishamaliza kuruka ruka kama bisi WAIRAN sio WAARABU nahawatakuja kuwa WAARABU mpaka DUNIA inafikia TAMATIKuna Wairan waarabu pia, kuna wairan wa Pakistani (baluchi) pia Saudi Arabia kuna wa persia Eastern Saudi Arabia na Bahrain kwa kifupi jamii hizo za kiajemi zinaingiliana sana na siku hizi na waarabu hata muonekano wa sura ni vigumu kutofautisha ni lugha tu la lafudhi zina utafauti
Kweli mkuu watu wengi hudhani wairan, wapakistan, waturuki na watu wa indonesia kwamba ni waarabu ukweli ni kuwa watu hawa hawana uhuziano wa kitamaduni na arabs isipokuwa uhusiano wao na waarabu upo kwenye dini ya uislamu tu
Halafu hili jeshi Oga, Zembe, Lisilo na Weledi wa Kutumia Silaha za Kisasa linataka kujitanua kifua kupambana na USA !
Tatizo shule halafu wabishi balaaKweli mkuu watu wengi hudhani wairan, wapakistan, waturuki na watu wa indonesia kwamba ni waarabu ukweli ni kuwa watu hawa hawana uhuziano wa kitamaduni na arabs isipokuwa uhusiano wao na waarabu upo kwenye dini ya uislamu tu
Sent using Jamii Forums mobile app