Meli ya Evergiven yaanza kuelea Suez Canal

Mchimba Chumvi

JF-Expert Member
May 19, 2016
2,060
4,844
Ever Given, the massive container ship blocking Egypt’s Suez Canal for nearly a week, has been partially refloated, the Suez Canal Authority (SCA) said, raising hopes the busy waterway will soon be reopened.

Monday’s move comes a week after the container ship ran aground in high winds, blocking one of the world’s busiest shipping lanes.

Source aljazeera.
========

Ever given.jpg

Moja ya meli kubwa zaidi duniani ya Evergiven imeanza kuelea kwenye mfereji wa Suez Canal baada ya kukwama kwa takriban wiki sasa kufuatia juhudi zinazofanywa na mataifa kuiondoa meli hiyo ili kufungua njia hiyo kubwa zaidi duniani ya meli.

Mkurugenzi mkuu wa mamlaka ya Suez Canal, Osma Rabie amesema meli hiyo inaelea baada ya jitihada za kuivuta.

Ever Given inayobeba tani 224000 ilikwama Suez Canal March 23 huku sababu zilizzopelekea ajali hiyo kutokuwa wazi japokuwa kasi ya upepo, makosa ya kiufundi na kibinadamu yakitajwa. Juhudi kubwa za kuondoa mchanga nyuma na mbele ya meli hiyo zilianza

Pia soma>> Meli kubwa ya mizigo yashindwa kukwamuliwa katika Mfereji wa Suez kwa siku ya tatu
 
kwa siyo evergreen ni evergiven? ... mimi najua inaitwa evergreen
Soma chote utaelewa

Ever Golden
This is another giant cargo ship with an unbelievably high DWT of 218,000 MT. Having a length of 400 metres and a breadth of 58.8 metres, it is longer than four football fields combined.It was built in 2018 by the Imabari Shipbuilding, Saijo shipyard. It is the first 20,000 TEU container ship built at Imabari Shipbuilding, among its sister ships namely Ever – Goods, Genius, Given and Gifted, to be delivered to Taiwan’s cargo shipping giant EVERGREEN which currently operates it.It has an effective draught of 12 metres, but lacks in speed, with the maximum recorded speed being 11.4 nautical miles per hour. It carries the flag of Panama.Five More Largest Container Ships In The World
 
Beberu aitwe beberu, wadachi wamekuja siku 3-4, imetoka, wamisri walikuwa wanahisi ni kazi ya wiki 2-3.

Shikamoo beberu!:D

Everyday is Saturday............................... :cool:
Walioichomoa ni wamisri wenyewe, Netherlands, Japan na wengine wamesidia kidogo, wanashangilia huko Walioichomoa.
 
Walioichomoa ni wamisri wenyewe, Netherlands, Japan na wengine wamesidia kidogo, wanashangilia huko Walioichomoa.
Boskalis a Dutch Salvage company!
Point ni kwamba beberu kahusika.
Wamisri walihitaji uwepo wa beberu. Hawakuita wakenya wala wasomali.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Na hili nalo unataka kuleta ligi na pengine udini kabisa?
Boskalis a Dutch Salvage company!
Point ni kwamba beberu kahusika.
Wamisri walihitaji uwepo wa beberu. Hawakuita wakenya wala wasomali.

Everyday is Saturday............................... :cool:
Twendeni taratibu.

Wanetherland walikuja wa wakawa optimistic na mpaka kusema wa nahitaji ku offload makontena kwenye meli.

Hii ni quote wakati anahojiwa na TV yao jumatano

Berdowski told Dutch TV on Wednesday that his company had determined it was impossible to free the ship with its current cargo on board. "The ship with the weight that it [has] now has is impossible to pull," he said. "You can forget about that."
Source

Japo wadachi walikata Tamaa jamaa wa Egpty mdogo mdogo wakawa wanachimba tena na vifaa dhaifu kama vijiko vya kawaida
suyez-e1616699471713.jpg


Hii picha ilikuwa meme vyombo vya Habari vya magharibi vikidhihaki excavator kutumika kuchimba hio meli ilipokwama.

Ila wa egpty hawakuvunjika moyo na vifaa vyao dhaifu waimeitoa hata kabla ya wiki kufika.


Hii ni diagram ya ya vessel wakati inaokolewa toka vesselfinder

han9c8lp8wp61.jpg

Angalia hizo tug almost zote ni za Egpty.

Marekani, Japan, uingereza na super power kibao zili offer msaada kuikwamua, jamaa wamefanya wenyewe wapeni credit zao msiwe wanafiki.
 
Twendeni taratibu.

Wanetherland walikuja wa wakawa optimistic na mpaka kusema wa nahitaji ku offload makontena kwenye meli.

Hii ni quote wakati anahojiwa na TV yao jumatano

Berdowski told Dutch TV on Wednesday that his company had determined it was impossible to free the ship with its current cargo on board. "The ship with the weight that it [has] now has is impossible to pull," he said. "You can forget about that."
Source

Japo wadachi walikata Tamaa jamaa wa Egpty mdogo mdogo wakawa wanachimba tena na vifaa dhaifu kama vijiko vya kawaida
suyez-e1616699471713.jpg


Hii picha ilikuwa meme vyombo vya Habari vya magharibi vikidhihaki excavator kutumika kuchimba hio meli ilipokwama.

Ila wa egpty hawakuvunjika moyo na vifaa vyao dhaifu waimeitoa hata kabla ya wiki kufika.


Hii ni diagram ya ya vessel wakati inaokolewa toka vesselfinder

View attachment 1738762
Angalia hizo tug almost zote ni za Egpty.

Marekani, Japan, uingereza na super power kibao zili offer msaada kuikwamua, jamaa wamefanya wenyewe wapeni credit zao msiwe wanafiki.
Big up egypt naona tug nane hapo kwa haraka haraka......

Magharibi wanadhihaki kama kawaida yao ila wenye mfereji wao ndio wanajua mbinu na namna ya kuikwamua meli ikikwama hapo......
 
Back
Top Bottom