Fikiria meli ina urefu wa karibu nusu kilomita yaani zaidi ya viwanja vinne vya mpira wa miguu.Makontena inayobeba huenda ni idadi sawa na makontena yote yaliyopo bandarini Dar es salaam. Ndio maana hawataki wayateremshe,kwanza wanaangalia uwezekano wa kuendelea na safari.Sijui makonnena hayo yaliyakuwa yaanze kushuswa wapi.Bila shaka meli hiyo haijawahi kufika Dar es salaam na huenda ikipita pale kigamboni inaweza ikaleta balaa jengine.Hiyo meli ni kubwa hawakufanya tafiti hapo mwanzo kuona kama inaweza kupita na mara nyingi meli kubwa huwa zinapita na escort na wazamiaji chini kuona kina cha maji kitaendana na ukubwa wa hiyo meli sasa hapo kati kutokana na meli nyingi kubwa kupita bila matatizo nadhani wakapunguza umakini huko baharini kuna mambo mengi ya ajabu kuhusu meli yasikie tu.
Mdau kimbunga ndio kimesababisha yote hayo na sio kina.Hiyo meli ni kubwa hawakufanya tafiti hapo mwanzo kuona kama inaweza kupita na mara nyingi meli kubwa huwa zinapita na escort na wazamiaji chini kuona kina cha maji kitaendana na ukubwa wa hiyo meli sasa hapo kati kutokana na meli nyingi kubwa kupita bila matatizo nadhani wakapunguza umakini huko baharini kuna mambo mengi ya ajabu kuhusu meli yasikie tu.
Kigamboni haipiti iyo mdau labda durban huko.Fikiria meli ina urefu wa karibu nusu kilomita yaani zaidi ya viwanja vinne vya mpira wa miguu.Makontena inayobeba huenda ni idadi sawa na makontena yote yaliyopo bandarini Dar es salaam.Ndio maana hawataki wayateremshe,kwanza wanaangalia uwezekano wa kuendelea na safari.Sijui makonnena hayo yaliyakuwa yaanze kushuswa wapi.Bila shaka meli hiyo haijawahi kufika Dar es salaam na huenda ikipita pale kigamboni inaweza ikaleta balaa jengine.
Pamoja na umakini wote lakini hali ya hewa ya wiki mbili zilizopita ilichangia kuharibu kina cha maji kwani kimbunga cha mchanga kilijaza tani nyingi mtoni.Kama hali ikizidi kuwa mbaya itabidi kuuzoa huu mchanga jambo jengine ambalo linaiogopesha serikali ya Misri kuliingia katika kipindi ambacho uchumi umeyumba.
Kwa kifupi hali ya safari imebadilika ghafla eneo hilo bila kutarajia kama vile corona ilivyoleta mambo ya ajabu duniani.
Bima kijasho kinawatoka, wajipange kurudisha mizigo waliyochukua.Hata mimi nilisoma hivyo na kunawataalamu wakukwamua wanakuja kutoka Italy kusaidia aisee ilikuwa kama utani lakini sasa mbombo imekuwa ngumu kuliko walivyo Tazamia.
Kampuni za Bima si huwa zilikuwa zinakusanya tu miaka yote, acha izitapike sasaAcha mchezo kaka nilisoma nikaogopa kwakweli hapo kuna kipigo chaja bila ya kupenda
Ndio wamenitumia email hapa, nikatoe ushauri wa kitaalamu 😀😀😀Beberu lazima aingie mzigoni, nilifikiria wataalam wazalendo wa kiafrika kutokea hata Somalia Au Eritrea wangekuwa wa kwanza on site!
Everyday is Saturday...............................
Imekita kwenye mchanga unavutaje kabla ya kupunguza mzigo ili ielee isizame chini kumbuka kile ni chuma ukilazimisha kama wakivyotaka kutumia hiyo akili mwanzo inaweza kuleta madhara zaidi huko baharini huwa wanapunguza container na kupeleka kwenye meli ingine ili hiyo iligonga au kukita kwenye mchanga iwe rahisi kuitoa.Wameshindwa na kazi ndogo ya kiinjinia.Hapo kinachotakiwa nguvu aina tatu kwa wakati mmoja .Meli moja yenye nguvu sana inavuta kwa mbele,moja inasukuma kutokea nyuma na mbili zinakuwa eneo la kati ,moja kazi yake kupuliza mchanga uachie njia na nyengine inaivuta meli kuiweka sawa na uelekeo wa huo unaoitwa mfereji.Jua halikutwi meli itaendelea na safari yake.
Nimeona kimbunga kimepunguza kina na kuigeuza meli ule upande kama umeangalia si unaona imegota kwenye mchanga kabisa pembeni pale utawezaje kuivuta huku ina mzigo kinachotakiwa mzigo upungue harafu itolewe au kutoa mchanga chini kule kitu ambacho ni kazi kubwa pia.Mdau kimbunga ndio kimesababisha yote hayo na sio kina
Kwanini isipite ? Siku nilimsikia yule jamaa wa TPA anasema bandari imepewa uwezo wa kuingiza meli yoyote.Kigamboni haipiti iyo mdau labda durban huko.
Hapo lazima yatelemshwe Mkuu zipo meli za kupakua makontena meli kufaulisha mzigo baharini ni kawaida tuu kwenye emergency hata ingekua na urefu wa Moro dar mzigo unatolewa ikiwa nyepesi ndio inatolewa kwenye mchanga iliponasa bila hivyo itawasumbua sana mimi hizo meli nimeziona Cape Town dock na zingine za mita 350 kufanya kazi hakuna jipya kwangu kwenye meli nimezunguka nazo hizo karibu miaka mitano...Fikiria meli ina urefu wa karibu nusu kilomita yaani zaidi ya viwanja vinne vya mpira wa miguu.Makontena inayobeba huenda ni idadi sawa na makontena yote yaliyopo bandarini Dar es salaam.Ndio maana hawataki wayateremshe,kwanza wanaangalia uwezekano wa kuendelea na safari.Sijui makonnena hayo yaliyakuwa yaanze kushuswa wapi.Bila shaka meli hiyo haijawahi kufika Dar es salaam na huenda ikipita pale kigamboni inaweza ikaleta balaa jengine.
Pamoja na umakini wote lakini hali ya hewa ya wiki mbili zilizopita ilichangia kuharibu kina cha maji kwani kimbunga cha mchanga kilijaza tani nyingi mtoni.Kama hali ikizidi kuwa mbaya itabidi kuuzoa huu mchanga jambo jengine ambalo linaiogopesha serikali ya Misri kuliingia katika kipindi ambacho uchumi umeyumba.
Kwa kifupi hali ya safari imebadilika ghafla eneo hilo bila kutarajia kama vile corona ilivyoleta mambo ya ajabu duniani.
Daah mkuu katuwakilishe, yule mkalimani nasikia katokea Dar Maritime Institute umchukue akakusaidie.Ndio wamenitumia email hapa, nikatoe ushauri wa kitaalamu 😀😀😀
😀😀😀😀😀😀.. yule nimchukue abebe makrabasha yangu tu labdaDaah mkuu katuwakilishe, yule mkalimani nasikia katokea Dar Maritime Institute umchukue akakusaidie.
Everyday is Saturday...............................
Hongera sana kamanda.Ndio wamenitumia email hapa, nikatoe ushauri wa kitaalamu
Changamoto kubwa inapaswa itumike nguvu ambayo isije ipindua hiyo meli yenyeweWameshindwa na kazi ndogo ya kiinjinia.Hapo kinachotakiwa nguvu aina tatu kwa wakati mmoja .Meli moja yenye nguvu sana inavuta kwa mbele,moja inasukuma kutokea nyuma na mbili zinakuwa eneo la kati ,moja kazi yake kupuliza mchanga uachie njia na nyengine inaivuta meli kuiweka sawa na uelekeo wa huo unaoitwa mfereji.Jua halikutwi meli itaendelea na safari yake.
Usiulize upana mkuu, uliza ulitengenezwaje?? Ni kiongozi mmoja hapo Misri aliona hiyo fursa kwamba iweje tusipasue hapa na kuunganisha bahari moja na nyingine ili kukuza pato la nchi ndio viongozi wenye mawazo makubwa ya akina Magufuli hao, na walianza kuchimba huo mfereji hapo awali na jembe na surulu za mikono kabla ya baadae nadhan kuongeza nguvu ya teknolojia, watu wa misri wa kipindi hicho walilaumu sanaaa.Ivi huo mfereji una upana wa mita ngapi??
Inamaana kama kipindi kile cha uchaguzi yule mzee Rungwe alivyosema anataka bahari aipeleke mpaka Dodoma kumbe ingeliwezekanaSikumbuki vizuri ila ni mpana kwakweli maana ndio njia kuu yakupitisha meli zote Duniani.
Stori tu izoeti imepewa uwezo wa kuingiza meli yoyoteKwanini isipite ? Siku nilimsikia yule jamaa wa TPA anasema bandari imepewa uwezo wa kuingiza meli yoyote
Soma andiko langu hapo juu mkuu jinsi palivyo tengenezwa, nothing impossible na upeo wa mawazo ya mtu ukisema hiki hakiwezekan inakuwa hivyo ukisema hiki kinawezekana inawezekana kweliInamaana kama kipindi kile cha uchaguzi yule mzee Rungwe alivyosema anataka bahari aipeleke mpaka Dodoma kumbe ingeliwezekana
Na unaambiwa iyo ni ndogo kiuwezoChombo !! Chombo cha mabeberu kina beba kontena elfu ishirini mgongoni..!!!!