Meli kubwa ya mizigo yashindwa kukwamuliwa katika Mfereji wa Suez kwa siku ya tatu

Heeee kumbe kuna udini tena
Udini ndio nini. Akitajwa Mungu unastuka.
We unadhani bila kumtukuza Mwenyezi Mungu kuna kinachokuwa chenyewe hapa duniani.
Huo mfereji ni kweli unapitisha bidhaa haramu na meli za kivita za kuwaonea wanyonge.Sasa Mungu akiufukia kuna hasara gani kwake.Mchanga uliojaa eneo la Suez ni kazi nyepesi tu kwake. Hivi sasa inazungumziwa wiki tatu ili Evergreen iondoke inaweza ikatajwa ni kazi isiyowezekana tena kwa miaka ya karibuni.Tukarudi kutumia bahari ya Atlantic kuleta mizigo Afrika na mashariki ya kati.
 
Ivi huo mfereji una upana wa mita ngapi??
Kama m300 sehemu nyembamba kabisa(Its narrowest point)
Wangeuita mto wa kuchimwa wa bahari ingekuwa jina zuri.
Ndio unaweza kusema Canal ni aina ya mto ambao umetengenezwa na binadam na sio wa asili.(Ndomaana kiswahili unaitwa Mfereji)

Na Canal inaweza kutengenezwa kuunganisha "any existing body of water"
Kwahiyo Canal inaweza kuunganisha mto na mto,ziwa na ziwa,ziwa na mto,bahari na ziwa nk
 
Ivi huo mfereji una upana wa mita ngapi??
Suez Canal

Ni kanali yenye upana wa takribani futi 738 upana na takribani futi 1,300 urefu. Ikiwa imeasisiwa mnamo miaka ya 1859 na uwepo wake ni toka 1869. Suez Canal imepitia maboresho mbalimbali ya upanuzi na kuongeza kina miaka ya hivi karibuni.

Suez Canal huanzia ukingo wa Nile Delta, jijini Port Said kupitia jijini Ismailia hadi jijini Suez.

evergreen-locator-Artboard_1_copy_2.jpg


📷 | La Post

Kwa kutazimia katika picha hii inaonekana Ever Given - Ever Green imekwama karibu na eneo la jiji la Suez kabla ya kufikia eneo la mwisho la kuingia Red Sea - Indian Ocean.

Urefu wa meli hii iliyokwama ni kipimo sawa na urefu wa Empire State Building ya Marekani hivyo urefu huo ni zaidi ya upana wa kanali hii.


received_398641337374355.jpeg


Picha hii nimepokea kutoka eneo la tukio na hapa ni jijini Suez shughuli mbalimbali za kuondoa meli hiyo zikiendelea.
 
Hata mimi nilisoma hivyo na kunawataalamu wakukwamua wanakuja kutoka Italy kusaidia aisee ilikuwa kama utani lakini sasa mbombo imekuwa ngumu kuliko walivyo tazamia.
Beberu lazima aingie mzigoni, nilifikiria wataalam wazalendo wa kiafrika kutokea hata Somalia Au Eritrea wangekuwa wa kwanza on site!

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Udini ndio nini. Akitajwa Mungu unastuka.
We unadhani bila kumtukuza Mwenyezi Mungu kuna kinachokuwa chenyewe hapa duniani.
Huo mfereji ni kweli unapitisha bidhaa haramu na meli za kivita za kuwaonea wanyonge.Sasa Mungu akiufukia kuna hasara gani kwake.Mchanga uliojaa eneo la Suez ni kazi nyepesi tu kwake. Hivi sasa inazungumziwa wiki tatu ili Evergreen iondoke inaweza ikatajwa ni kazi isiyowezekana tena kwa miaka ya karibuni.Tukarudi kutumia bahari ya Atlantic kuleta mizigo Afrika na mashariki ya kati.
Hiyo meli ni kubwa hawakufanya tafiti hapo mwanzo kuona kama inaweza kupita na mara nyingi meli kubwa huwa zinapita na escort na wazamiaji chini kuona kina cha maji kitaendana na ukubwa wa hiyo meli sasa hapo kati kutokana na meli nyingi kubwa kupita bila matatizo nadhani wakapunguza umakini huko baharini kuna mambo mengi ya ajabu kuhusu meli yasikie tu.
 
Back
Top Bottom