Meli kubwa ya kivita ya Marekani yatia nanga Mombasa kuimarisha ulinzi katika Pwani ya Mashariki

Kama namna ya kuonyesha uhusiano wa karibu baina ya Kenya na Marekani, wamefanya kweli kwa kutunisha misuli na kuonyesha makucha kwenye pwani ya Kenya, meli yao kubwa ya kivita inageuza geuza kwenye bandari ya Mombasa. Hii habari najua haitokua nafuu kwa wale huita Wachina ndugu zao wa damu. Hehehe!

Pia niwakumbushie, tupo kwenye hatua za mwisho kwenye makubaliano ya FTA.

----------------------------------------------

File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship

File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship

The United States of America has deployed the Expeditionary Sea Base USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship to the Mombasa port in a bid to boost maritime security in the region.

This is the first US naval ship deployed to the Kenyan coast in over a decade. The captain manning the ship, Michael Concannon, affirmed that the arrival of the ship was proof of the commitment between Kenya and the US.

“Kenya is a close U.S. strategic partner in Africa. Our visit to Mombasa confirms our resolve and commitment to the preservation of security and stability in Kenya and Africa,” the captain stated.

File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship

File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship

His sentiments were echoed by the Interim US ambassador to Kenya Eric Kneedler who affirmed the close ties between the two countries.

"The visit of the USS Hershel “Woody” Williams is a mark of the deep and enduring relationship between the United States and Kenya,” Kneedler stated.

Reports indicate that Kenyan officials are expected to tour the ship in order to learn more about the state-of-the-art technology and other security features that the ship has.

However, due to Covid-19 restrictions, the tours will be limited to open space areas of the ship only.

The war ship was commissioned by the US Navy on March 7, 2020, as part of the class of Expeditionary Sea Base ships. The (ESB 4) ship is the second in the Lewis B. Puller-class of expeditionary sea base vessels.

Named after retired Marine Corporal Officer, Hershel Williams, the 784-foot-long ship consists of a 52,000 square-foot, four-spot flight deck that helicopters can land on.

The ship can host up to 250 personnel who mainly consists of civilian mariners and sailors. The crew is mainly divided into two: blue and red crew.

The high tech surveillance systems used in the ship enables operations such as counter-piracy operations, disaster relief operations and crisis response operations aimed at boosting maritime security.

The deployment of the warship is the recent development of the strengthening of ties between the US and Kenya. Currently, the Kenyan government seeks to conclude the free trade agreement deal with President Joe Biden's administration in order to further strengthen economic ties between the two countries.

USS Hershel Woody Williams ship arriving at the Naval Station Norfolk on July 5, 2020.

USS Hershel "Woody" Williams ship arriving at the Naval Station Norfolk on July 5, 2020.


Alshabab Wabaya!!!, His excellence president Freedom kaamua kuomba msaada wa manowari ya kijeshi kutoka kwa Joe Biden kuwatishia 'nyau' Alshabab.🤣🤣
 
Hiyo meli inasadia Nini!Kama Al shabab wanawageuza kadri wapendavyo.Ethiopia wamewaangushia ndege na kuwatunisha misuli mkaufyata.Uganda wamewanyang"nya kisiwa ziwani Victoria.mtaishia kutalii uwanja wa Vita watupu


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Afu hili dubwasha lina uwezo wa kushambulia hadi Kigoma lenyewe likiwa baharini kati, yaani mwendo wa kubonyeza bonyeza tu na vitu vinachomoza na kupepea angani, yaani kama movie vile. Hehehe ila usiwe na wasiwasi endelea kuvimbiwa ubwabwa, hawa huwa hawana issue na shitholes.
Kipaumbele chenu sasa ni kipi? Kama mna marafiki wemye hunguvu hizo na bado alshabab wanawachinja daily na kumega kabisa eneo la kenya na kukusanya kodi na kubomoa minara ya safaricom bila kuguswa, hiki unachojitapa kina faida gani?
 
Tanzania imawafyeka isis kule Mozambique mpaka Rais wao kafunga safari kuja kumshukuru Magufuli bila msaada wowote kutoka nje

Ninyi mna majeshi ya Marekani, Uingereza sijui amison na misaada kibao ya kimataifa lakini ndio kwaaanza alshabab wametwaa counties mbili za Kenya na saivi wamezindua kitengo chao cha ukusanyaji mapato

Ajabu unakuja kujitapa eti kuna wanaume wamekuja kuload in supplies kwenye meli yao nchini Kenya, unasikitisha mzee
 
Kama namna ya kuonyesha uhusiano wa karibu baina ya Kenya na Marekani, wamefanya kweli kwa kutunisha misuli na kuonyesha makucha kwenye pwani ya Kenya, meli yao kubwa ya kivita inageuza geuza kwenye bandari ya Mombasa. Hii habari najua haitokua nafuu kwa wale huita Wachina ndugu zao wa damu. Hehehe! Pia niwakumbushie, tupo kwenye hatua za mwisho kwenye makubaliano ya FTA. ----------------------------------------------
File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship
File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship
The United States of America has deployed the Expeditionary Sea Base USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship to the Mombasa port in a bid to boost maritime security in the region. This is the first US naval ship deployed to the Kenyan coast in over a decade. The captain manning the ship, Michael Concannon, affirmed that the arrival of the ship was proof of the commitment between Kenya and the US. “Kenya is a close U.S. strategic partner in Africa. Our visit to Mombasa confirms our resolve and commitment to the preservation of security and stability in Kenya and Africa,” the captain stated.
File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship
File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship
His sentiments were echoed by the Interim US ambassador to Kenya Eric Kneedler who affirmed the close ties between the two countries. "The visit of the USS Hershel “Woody” Williams is a mark of the deep and enduring relationship between the United States and Kenya,” Kneedler stated. Reports indicate that Kenyan officials are expected to tour the ship in order to learn more about the state-of-the-art technology and other security features that the ship has. However, due to Covid-19 restrictions, the tours will be limited to open space areas of the ship only. The war ship was commissioned by the US Navy on March 7, 2020, as part of the class of Expeditionary Sea Base ships. The (ESB 4) ship is the second in the Lewis B. Puller-class of expeditionary sea base vessels. Named after retired Marine Corporal Officer, Hershel Williams, the 784-foot-long ship consists of a 52,000 square-foot, four-spot flight deck that helicopters can land on. The ship can host up to 250 personnel who mainly consists of civilian mariners and sailors. The crew is mainly divided into two: blue and red crew. The high tech surveillance systems used in the ship enables operations such as counter-piracy operations, disaster relief operations and crisis response operations aimed at boosting maritime security. The deployment of the warship is the recent development of the strengthening of ties between the US and Kenya. Currently, the Kenyan government seeks to conclude the free trade agreement deal with President Joe Biden's administration in order to further strengthen economic ties between the two countries.
USS Hershel Woody Williams ship arriving at the Naval Station Norfolk on July 5, 2020.
USS Hershel "Woody" Williams ship arriving at the Naval Station Norfolk on July 5, 2020.
Kwa maoni yangu:
Sisi Kama Taifa urafiki wa kujipendekeza kupita kiasi kwa wamarekani hautufai kabisa maana hawa jamaa ni wanyanyasaji na wategaji wa ubwenyenye.

Nafikiri tukomae kivyetu na kutumia matatizo tuliyonayo ili kufanikiwa na sio kutegemea mataifa Kama haya yenye kulenga faida kubwa kwa upande wao tu.

Hata hivyo, sisi tunawajibu wa kuimarisha mahusiano ya Kidiplomasia lakini sio kwa mataifa yenye kutupangia Nini Cha kufanya kama nchi huru hata Kama Masikini. Kupanga Ni kuchagua Kenya walichagua njia yao tofauti na sisi, kwa kuwa kila Taifa Lina falsafa tofauti Kidiplomasia, Kisiasa, na Kiuchumi.
 
Kwa thread yako inaonyesha wazi jeshi lenu ni dhaifu sanasana mnategemea ulinzi kutoka marekani ndio maana umetoa njee meno yote kushangilia kuja meli ya marekani
 
Kwa thread yako inaonyesha wazi jeshi lenu ni dhaifu sanasana mnategemea ulinzi kutoka marekani ndio maana umetoa njee meno yote kushangilia kuja meli ya marekani

Nasema hivi...thubutu kujifanya kama unajikuna vile.
 
Kipaumbele chenu sasa ni kipi? Kama mna marafiki wemye hunguvu hizo na bado alshabab wanawachinja daily na kumega kabisa eneo la kenya na kukusanya kodi na kubomoa minara ya safaricom bila kuguswa, hiki unachojitapa kina faida gani?

Napata raha mnavyopiga makelele, na bado hamjakoma...lipo haliondoki hivi karibuni, mnaalikwa mje mshangae shangae kidogo.
Halafu kwa mlivyo wanafiki, nakumbuka kuna kipindi meli ya kivita ya Wachina ilitia nanga kwenye bandari yenu, aisei humu hakukukalika kwa makelele na misifa, bure sana nyie watu
 
Kama namna ya kuonyesha uhusiano wa karibu baina ya Kenya na Marekani, wamefanya kweli kwa kutunisha misuli na kuonyesha makucha kwenye pwani ya Kenya, meli yao kubwa ya kivita inageuza geuza kwenye bandari ya Mombasa. Hii habari najua haitokua nafuu kwa wale huita Wachina ndugu zao wa damu. Hehehe!

Pia niwakumbushie, tupo kwenye hatua za mwisho kwenye makubaliano ya FTA.

----------------------------------------------

File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship

File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship

The United States of America has deployed the Expeditionary Sea Base USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship to the Mombasa port in a bid to boost maritime security in the region.

This is the first US naval ship deployed to the Kenyan coast in over a decade. The captain manning the ship, Michael Concannon, affirmed that the arrival of the ship was proof of the commitment between Kenya and the US.

“Kenya is a close U.S. strategic partner in Africa. Our visit to Mombasa confirms our resolve and commitment to the preservation of security and stability in Kenya and Africa,” the captain stated.

File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship

File image of the USS Hershel “Woody” Williams (ESB 4) ship

His sentiments were echoed by the Interim US ambassador to Kenya Eric Kneedler who affirmed the close ties between the two countries.

"The visit of the USS Hershel “Woody” Williams is a mark of the deep and enduring relationship between the United States and Kenya,” Kneedler stated.

Reports indicate that Kenyan officials are expected to tour the ship in order to learn more about the state-of-the-art technology and other security features that the ship has.

However, due to Covid-19 restrictions, the tours will be limited to open space areas of the ship only.

The war ship was commissioned by the US Navy on March 7, 2020, as part of the class of Expeditionary Sea Base ships. The (ESB 4) ship is the second in the Lewis B. Puller-class of expeditionary sea base vessels.

Named after retired Marine Corporal Officer, Hershel Williams, the 784-foot-long ship consists of a 52,000 square-foot, four-spot flight deck that helicopters can land on.

The ship can host up to 250 personnel who mainly consists of civilian mariners and sailors. The crew is mainly divided into two: blue and red crew.

The high tech surveillance systems used in the ship enables operations such as counter-piracy operations, disaster relief operations and crisis response operations aimed at boosting maritime security.

The deployment of the warship is the recent development of the strengthening of ties between the US and Kenya. Currently, the Kenyan government seeks to conclude the free trade agreement deal with President Joe Biden's administration in order to further strengthen economic ties between the two countries.

USS Hershel Woody Williams ship arriving at the Naval Station Norfolk on July 5, 2020.

USS Hershel "Woody" Williams ship arriving at the Naval Station Norfolk on July 5, 2020.

Kufurahia kitu kama hiki ni ujuha.
 
Napata raha mnavyopiga makelele, na bado hamjakoma...lipo haliondoki hivi karibuni, mnaalikwa mje mshangae shangae kidogo.
Halafu kwa mlivyo wanafiki, nakumbuka kuna kipindi meli ya kivita ya Wachina ilitia nanga kwenye bandari yenu, aisei humu hakukukalika kwa makelele na misifa, bure sana nyie watu

Sisi wanakuja kwa ajili ya mafunzo, na si kuja kutulinda kama nyie wanavyofanya. Na tumegundua kuwa wanataka kuwatumia kukwiba mafuta ya Somalia.
 
Mnaweza nini sasa kama sio kukimbilia kwa mabwana zenu. Wasomali wamelamba waganda wamewatahiri bila gadhi. Mnachokiweza kenya ni utapel na mdomo tu tena wakujipendekeza wa mabwana zenu. Na bado

Sasa mbona unaniquote mara kumi kama sio kuweweseka, na litaendelea kugeuza geuza humu haliondoki hivi karibuni......hehehe
 
Back
Top Bottom