Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau habarini
Katika kuunga mkono jitihada za RC Makonda, jumla ya Madaktari Bingwa Na Wataalamu wa Afya 381 kutoka Jeshi la China watawasili nchini tarehe 20/11/2027 na kutoa huduma za matibabu bure ikiwemo upasuaji.
Wataalamu hao watakuja na Meli maalumu itakayotumika kutoa matibabu bure kwa wastani wa Wagonjwa 600 kwa Siku ikiwemo upasuaji.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewaomba wakazi wa Jiji hilo pamoja na Mikoa ya jirani kuchangamkia fursa hiyo muhimu itakayodumu kwa muda wa siku saba kuanzia tarehe 20/11/2017.
Tutaendelea kuwapa mrejesho wa zoezi hilo.
Karibuni..
----
UPDATE >> 19 Novemba, 2017
Meli ya Hospitali kutoka China tayari imewasili katika Bandari ya Dar es Salaam leo ikiwa na madaktari bingwa na wafanyakazi 381 ambao watatoa huduma ya matibabu bure ndani ya meli hiyo kwa muda wa wiki moja kuanzia Jumatatu ya kesho (Novemba 20, 2017)..
Katika kuunga mkono jitihada za RC Makonda, jumla ya Madaktari Bingwa Na Wataalamu wa Afya 381 kutoka Jeshi la China watawasili nchini tarehe 20/11/2027 na kutoa huduma za matibabu bure ikiwemo upasuaji.
Wataalamu hao watakuja na Meli maalumu itakayotumika kutoa matibabu bure kwa wastani wa Wagonjwa 600 kwa Siku ikiwemo upasuaji.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewaomba wakazi wa Jiji hilo pamoja na Mikoa ya jirani kuchangamkia fursa hiyo muhimu itakayodumu kwa muda wa siku saba kuanzia tarehe 20/11/2017.
Tutaendelea kuwapa mrejesho wa zoezi hilo.
Karibuni..
----
UPDATE >> 19 Novemba, 2017
Meli ya Hospitali kutoka China tayari imewasili katika Bandari ya Dar es Salaam leo ikiwa na madaktari bingwa na wafanyakazi 381 ambao watatoa huduma ya matibabu bure ndani ya meli hiyo kwa muda wa wiki moja kuanzia Jumatatu ya kesho (Novemba 20, 2017)..