Melchizedek na utata unaomzunguka

Huielewi bible na hutoweza kumwelewa Paulo maana na yeye alikuwa great thinker.Watu waliomezeshwa huwa wanabisha hadi facts.
Usiogope kumgusa yeyote katika wafuasi wake isipokuwa KRISTO mwenyewe, maana Injili aliifundisha yeye!, wengine wamerokodi tu au wameitafsiri na tafsiri yao si lazima iwe sahahi!

Wanafunzi wa Yesu kama vile James na Peter wenyewe walimkosoa Paulo Vikali juu ya baadhi ya mafundisho yake
Ilifikia hatua hadi James akamjibu Paulo kwa kutumia lugha kali sana ambayo kwa viwango vya sasa unaweza kusema alimtukana, haya yote yamo ndani ya Bible, Kwa hiyo siyo kweli kuwa mafundisho ya Paulo yalikuwa untouchable, na wanafunzi wa Yesu waliyaquestion pia, sembuse sisi?

unahitaji kusoma maandiko na historia ya mambo ili uweze kuelewa. Usikubali kumezeshwa Dogma/Doctrines za mathinkers, msome KRISTO wewe mwenyewe umuelewe!.
 
Huielewi bible na hutoweza kumwelewa Paulo maana na yeye alikuwa great thinker.Watu waliomezeshwa huwa wanabisha hadi facts.

Ngoja nikuonyeshe uone James, ndugu yake Yesu na Mwanafunzi wa Yesu alimuonaje Paulo

Paulo anasema kwenye kitabua cha Warumi kama ifuatavyo kwenye Warumi (4: 1-3)

4 usemeje basi kuhusu baba yetu Abrahamu? Yeye alijifunza nini?2 Ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, basi anacho kitu cha kujivunia, lakini si mbele za Mungu. 3 Maandiko yanase maje? “Abrahamu alimwamini Mungu na kwa ajili ya imani yake aka hesabiwa haki.”
Source :

https://www.biblegateway.com/passage/?search=warumi+4&version=SNT


Hapo Paulo anasisitiza Imani kuwa Yatosha na kwamba Matendo si hoja sana mbele ya Mungu

Chini hapa nakuwekea Majibu ya James ndugu yake Yesu, kwenye kitabu cha James (Kwa Mujibu wa King James Version(KJV) na New International version (NIV), kinaitwa James) ila kwa ajili yako wewe Mswahili wamekubadirishia hadi jina la kitabu badala ya Kukiita kitabu cha James wamekiita kitabu cha Yakobo, sijui walitaka kutuficha nini sisi waswahili [Hili ni somo jingine ngoja nisiingize mada ndani ya mada] :D :D

Yakobo 2:20-23 Inasema:

Ewe mpumbavu, unataka ushahidi wa kuthibitisha kwamba imani bila matendo ni bure? 21 Je, Abrahamu baba yetu hakuhesa biwa haki kwa matendo, alipomtoa mwanae Isaki madhabahuni? 22 Unaona jinsi ambavyo imani ilitenda kazi pamoja na matendo yake na imani ikakamilishwa kwa matendo. 23 Kwa njia hiyo yaka timizwa yale Maandiko yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akahesabiwa kuwa mtu mwenye haki”; naye akaitwa rafiki wa Mungu.
Source:


Kwa Kiingereza(Kutoka New International Version) kitabu hicho hicho ambacho sasa kinakwenda kwa jina la James kinasema:

James 2: 20-23

20 You foolish person, do you want evidence that faith without deeds is useless[d]? 21 Was not our father Abraham considered righteous for what he did when he offered his son Isaac on the altar? 22 You see that his faith and his actions were working together, and his faith was made complete by what he did. 23 And the scripture was fulfilled that says, “Abraham believed God, and it was credited to him as righteousness,”[e]and he was called God’s friend. 24 You see that a person is considered righteous by what they do and not by faith alone.
Source: https://www.biblegateway.com/passage/?search=James+2&version=NIV


UMEONA MANENO MAKALI AMBAYO JAMES NDUGU YAKE YESU ANAMTOLEA PAULO KWA MAFUNDISHO YAKE?

Hapo sijagusia jinsi James alivyomtega Paulo kuhakikisha anafuata sheria za Kiyahudi mbele ya kadamnasi ya Wayahudi ili kuthibitisha kama kweli anasimamia misimamo yake ya kuwa "tumefunguliwa kutoka katika minyorro ya torati ya Musa, au Sharti mwanafunzi wa Yesu aendee kutii Torati?
Kwa Taarifa zako Paulo siku hiyo hakuwa na jinsi ilibidi afuate ritual zote za Wayahudi la sivyo hakuna Myahudi ambaye angemchukulia serious kabisa na mafundisho yake!

Soma Biblia ndugu uelewe, usikubali kupelekwa pelekwa
 
Kwa Taarifa zako Paulo siku hiyo hakuwa na jinsi ilibidi afuate ritual zote za Wayahudi la sivyo hakuna Myahudi ambaye angemchukulia serious kabisa na mafundisho yake!
Mkuu kumbuka Paulo ndio mtume maarufu ndani ya agano jipya ambaye habari zake na hata barua zake zimechukua sehemu kubwa ya agano jipya kuliko hata baadhi ya wanafunzi wa Yesu hivyo usimdunishe hivyo huyu mtumishi wa Mungu.
 
Ndio maana Nikakwambia huielewi bible,,toka mwanzo wa mjadala hatukuwa tumeielewa identity yako ila kwa sasa uko wazi na umejionyesha dhahiri na kwa hakika hakuna mkristo atakaekuelewa zaidi ya wakristo feki kama Jehovah witness na wale wengine uliowataja hapo juu.Na bila shaka umebakisha biblia ya mshirikina beyonce kusaidia mawazo yako ya kigonjwa.New international version ni biblia ya Wase.nge na wameiandika kwa ujazo wa akili zao chafu.Ungekuwa unamwelewa Paulo ungekuwa Umeelewa ukristo kwa sehemu kubwa sana.Mwisho wewe na akili yako jifunze zaidi dini yako.Ukitumia akili hio kumwelewesha mkristo ni aibu Maana unaeleza kitu usichokipenda na usichokielewa mwisho wa siku unaonekana kuandika ujinga mtupu.
Ngoja nikuonyeshe uone James, ndugu yake Yesu na Mwanafunzi wa Yesu alimuonaje Paulo

Paulo anasema kwenye kitabua cha Warumi kama ifuatavyo kwenye Warumi (4: 1-3)

4 usemeje basi kuhusu baba yetu Abrahamu? Yeye alijifunza nini?2 Ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, basi anacho kitu cha kujivunia, lakini si mbele za Mungu. 3 Maandiko yanase maje? “Abrahamu alimwamini Mungu na kwa ajili ya imani yake aka hesabiwa haki.”
Source :

https://www.biblegateway.com/passage/?search=warumi+4&version=SNT


Hapo Paulo anasisitiza Imani kuwa Yatosha na kwamba Matendo si hoja sana mbele ya Mungu

Chini hapa nakuwekea Majibu ya James ndugu yake Yesu, kwenye kitabu cha James (Kwa Mujibu wa King James Version(KJV) na New International version (NIV), kinaitwa James) ila kwa ajili yako wewe Mswahili wamekubadirishia hadi jina la kitabu badala ya Kukiita kitabu cha James wamekiita kitabu cha Yakobo, sijui walitaka kutuficha nini sisi waswahili [Hili ni somo jingine ngoja nisiingize mada ndani ya mada] :D :D

Yakobo 2:20-23 Inasema:

Ewe mpumbavu, unataka ushahidi wa kuthibitisha kwamba imani bila matendo ni bure? 21 Je, Abrahamu baba yetu hakuhesa biwa haki kwa matendo, alipomtoa mwanae Isaki madhabahuni? 22 Unaona jinsi ambavyo imani ilitenda kazi pamoja na matendo yake na imani ikakamilishwa kwa matendo. 23 Kwa njia hiyo yaka timizwa yale Maandiko yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akahesabiwa kuwa mtu mwenye haki”; naye akaitwa rafiki wa Mungu.
Source:


Kwa Kiingereza(Kutoka New International Version) kitabu hicho hicho ambacho sasa kinakwenda kwa jina la James kinasema:

James 2: 20-23

20 You foolish person, do you want evidence that faith without deeds is useless[d]? 21 Was not our father Abraham considered righteous for what he did when he offered his son Isaac on the altar? 22 You see that his faith and his actions were working together, and his faith was made complete by what he did. 23 And the scripture was fulfilled that says, “Abraham believed God, and it was credited to him as righteousness,”[e]and he was called God’s friend. 24 You see that a person is considered righteous by what they do and not by faith alone.
Source: https://www.biblegateway.com/passage/?search=James+2&version=NIV


UMEONA MANENO MAKALI AMBAYO JAMES NDUGU YAKE YESU ANAMTOLEA PAULO KWA MAFUNDISHO YAKE?

Hapo sijagusia jinsi James alivyomtega Paulo kuhakikisha anafuata sheria za Kiyahudi mbele ya kadamnasi ya Wayahudi ili kuthibitisha kama kweli anasimamia misimamo yake ya kuwa "tumefunguliwa kutoka katika minyorro ya torati ya Musa, au Sharti mwanafunzi wa Yesu aendee kutii Torati?
Kwa Taarifa zako Paulo siku hiyo hakuwa na jinsi ilibidi afuate ritual zote za Wayahudi la sivyo hakuna Myahudi ambaye angemchukulia serious kabisa na mafundisho yake!

Soma Biblia ndugu uelewe, usikubali kupelekwa pelekwa
 
Ukiangalia sifa za huyo Melkisedeck jinsi zilivyotajwa ni Mungu pekee mwenyesifa sifa hizo. Zaidi aliwekwa hapo katika kitabu cha mwanzo kupokea sadaka ya Ibrahimu tena kabla ya uduma ya kikuhani kuanza (huduma ya kikuhani ilianza miaka ya baadaye kwa kutumia damu ya wanyama kwa utaratibu na mafundisho ya Mungu). Sasa hapa ilihitajika huduma ya kikuhani na hapakuwepo wa kuifanya, hivyo, ilimlazimu Yesu mwenyewe akaifanye kwa kujifunua kwa mfano wa Melikisedeck. Hivyo melikisedek alikuwa Yesu mwenyewe
Kuwa na akili bhasi..

Yesu alizaliwa
Unaambiwa huyu hakuwa na mama wala baba

Lakni yesu alikuwa na mama ambye ni maria.. Sasa sifa zinafananaje?
 
Mwanangu wa kiume nita muita Melchzedek bonge la jina lenye utukufu.
Melchizedek is an old Canaanite name meaning “My King Is [the god] Sedek” or “My King Is Righteousness” (the meaning of the similar Hebrew cognate). Salem, of which he is said to be king, is very probably Jerusalem. Psalm
 
Melchizedek is an old Canaanite name meaning “My King Is [the god] Sedek” or “My King Is Righteousness” (the meaning of the similar Hebrew cognate). Salem, of which he is said to be king, is very probably Jerusalem. Psalm
Hakika.
 
Habari za masiku wanajukwaa wote, leo ningependa tujadili watu mysterious kwenye vitabu vyetu vya dini kama ilivyo kawaida yetu. Hivyo twendeni pamoja ili tusolve mystery hii, kubwa ya yote tuongeze tu maarifa na kujibu maswali ambayo yameonekana magumu kwenye vitabu hivi.

Niweke rai mapema pamoja na kwamba inaongelea mtu wa kwenye imani zetu ila mada hii isijengwe kidini yaani kukashifiana bali ijikite kwenye mrengo wa kuelemishana. Karibuni

UTANGULIZI
Melchizidek anaongelewa kwa mara ya kwanza ndani ya Biblia kwenye kitabu cha mwanzo 14:18 ambapo baada ya Abraham kutokea vitani alikutana na Mfalme wa eneo la Salem (Jerusalem ya leo) ambapo alimbariki na Adam alimpa kikumi cha kila alichokuwa nacho wakati huo.

Kwahiyo kitabu cha mwanzo kinamueleza kama MFALME WA SALEM na kuhani wa Mungu YAHWEH

View attachment 1176929
AGANO JIPYA
Upande wa agano Jipya Melchizedek anaelezwa kuwa ana uhusiano ma Yesu.

Waebrania 5
6 kama asemavyo mahali pengine,Ndiwe kuhani milele Kwa mfano wa Melkizedeki

Zaburi 110:4, Waebrania 5:10,6:20 zote zinaeleza kuwa Yesu ni kuhani kwa mfuatano na huyu melchizedek. Ikumbukwe Makuhani wengi wamepita hapo kati na Yesu ametokea kwenye uzao wa Abraham sasa iweje afananishwe na melchizedek na sio kuhani yeyote yule??

Je huyu melchizedek ni nani hasa?

UTATA ZAIDI
Utata zaidi unaibuka pale ambapo muandishi wa kitabu cha waebrania (ambaye mpaka leo hafahamiki ni nani) anaandika haya
Waebrania 7
3 hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku zake, wala mwisho wa uhai wake, bali amefananishwa na Mwana wa Mungu); huyo adumu kuhani milele.

Tunaambiwa huyu ''Jembe'' hakuwa na baba wala mama na anaishi milele hata sasa???

Ukisoma sura yote inamsifia mtu huyu wa ajabu (mysterious) na kusema licha ya ukuu wa Abraham kama Baba wa wayahudi ila haoni ndani kwa huyu Melchizedek!!

Book of Enoch
Muandishi wa kitabu hiki anajaribu kutupa mwanga kidogo kuhusu utata huu. Ukisoma Enoch 2 sura ya 71 inaeleza kuwa Kuhani Nir (Kaka yake Nuhu) alikuwa na mke ambaye hakulala naye toka alipoteuliwa na Mungu kuwa kuhani. Siku moja anagundua mke wake ana mimba, hivyo ukazuka ugomvi mkubwa mwishowe yule mama akapata presha akaanguka akafa, sasa cha ajabu walipotaka kuizika maiti haraka haraka ''kuua soo'' Wakashangaa mtoto ametoka tayari!!!. Yaani maiti imezaa!!!
Hivyo ikawa concluded kuwa kazaliwa bila baba wala mama.

Ikumbukwe alizaliwa kabla ya gharika, hivyo ili unabii utimie kuwa atakuwa kuhani wa makuhani wote ikabidi Malaika Gabriel amchukue na kumficha bustani ya Eden hivyo akapona gharika na akarudishwa baada ya gharika kupita.

HITIMISHO
Katika pekua pekua zangu sijakutana kabisa na maandiko yeyote kwenye biblia na pseudepigrapha (vilivyoachwa) ambacho kinagusia mwisho wake zaidi vyote vinasema anaishi milele ingawa havisemi wapi ama lini aliacha kuwa mfalme wa Salem.

Sasa wajuvi wa Historia na Dini mtusaidie je mtu huyu alikua nani hasa??

Pia kma alikuwa mkuu kuliko Abraham na amefananishwa na Yesu kwanini hajaongelewa sana kwenye Bible??

Je historia yake ni ipi??

Je mwisho wake ni upi hapa duniani? Au bado anaishi na sisi kwa sura tofauti?

Karibuni....
Dah! Naona huyo kuliko Yesu maana Yesu ana mama.
 
Yesu alipokuja duniani alikuja katika 4m ya mwili
Na utukufu na baadhi ya mamlaka yake aliyaacha Mbinguni...

Na hapo tunapata sababu ya yeye kujibu vile
Hakuna mahali kwenye bible Yesu anatambulishwa kwa sifa ya uungu, hii ni theolojia ya kuunga unga tu kama hii ya kujaribu kumfananisha Yesu na Melkizedeki, lakini theolojia hiyo imebase kwenye logical inferences tu badala ya maandiko!, yaani imebase kwenye watu kuconnect dots badala ya kauli thabiti ya Yesu mwenyewe

Mathayo 24:36 Yesu mwenyewe kwa kauli yake anasema anasema, "hakuna ajuaye saa wala muda wa siku ile SI MALAIKA WALA MWANA AJUAYE ILA BABA PEKE YAKE (3“But concerning that day and hour no one knows, not even the angels of heaven, nor the Son,[a] but the Father only. ")
hili andiko peke yake linakuonyesha kuwa Yesu yuko limited in knowledge, hajui mambo yote na siri zote za ulimwengu huu, na hiyo peke yake ni ushahidi kuwa siyo Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom