Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,356
- 1,161
Huielewi bible na hutoweza kumwelewa Paulo maana na yeye alikuwa great thinker.Watu waliomezeshwa huwa wanabisha hadi facts.
Usiogope kumgusa yeyote katika wafuasi wake isipokuwa KRISTO mwenyewe, maana Injili aliifundisha yeye!, wengine wamerokodi tu au wameitafsiri na tafsiri yao si lazima iwe sahahi!
Wanafunzi wa Yesu kama vile James na Peter wenyewe walimkosoa Paulo Vikali juu ya baadhi ya mafundisho yake
Ilifikia hatua hadi James akamjibu Paulo kwa kutumia lugha kali sana ambayo kwa viwango vya sasa unaweza kusema alimtukana, haya yote yamo ndani ya Bible, Kwa hiyo siyo kweli kuwa mafundisho ya Paulo yalikuwa untouchable, na wanafunzi wa Yesu waliyaquestion pia, sembuse sisi?
unahitaji kusoma maandiko na historia ya mambo ili uweze kuelewa. Usikubali kumezeshwa Dogma/Doctrines za mathinkers, msome KRISTO wewe mwenyewe umuelewe!.