Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

Ana umri gani mbona kama kama ameshafanyamambo mengi kuzidi umri wake
Haya sio mavazi ya JWTZ hayo mavazi ya Jeshi la Sudan kusini kule vyeo hupeana tu mfano hakuna nyota nne JWTZ huyo kavaa nyota nne ugumu na mda wa kozi ya komando , PhD , upandre , kadet , napandaji wa vyeo haiwezekani kwa mtu mmoja chanzo cha habari hakiko sahihi na habari hii imekanushwa alipewa vyeo vya heshima ambavyo hawezi kutoa komandi japo aliteuliwa na shirika lake kutoa huduma za kiroho kwa wanajeshi wa sudani kusini
 
Sio mwanajeshi wa JWTZ tusipotoshe ni Apostle of Jesus shirika lililoanzishwa Afrika la mapadri na tena hili shirika liliwahi pigwa ban na Papa liko kwenye rehabilitation sasa hivi...
Aina hiyo ya wanajeshi wanahudumia wanajeshi na familia zao yani ni maparoko wa jeshi ...sio waajiriwa wa jeshi ... MABEYO hamtambui huyu kapteni
Ngerengere 92?
 
Padri Henry Rimisho wa kanisa katoliki, jimbo la Moshi leo ametunukiwa shahada ya uzamivu katika usanifu majengo (PhD in Architecture) ya chuo kikuu cha Ardhi. Padri Rimisho ana shahada ya sayansi katika usanifu majengo (Bachelor of Science in Architecture) na Shahada ya umahiri katika usanifu majengo (Master of Architecture) zote kutoka chuo kikuu cha Ardhi.
Nimemkumbuka, Brigedia, Jaji mkuu, Mwanasheria mkuu wa serikali ya Zanzibar na mchungaji ,Augustino Ramadhan
 
Padri Henry Rimisho wa kanisa katoliki, jimbo la Moshi leo ametunukiwa shahada ya uzamivu katika usanifu majengo (PhD in Architecture) ya chuo kikuu cha Ardhi. Padri Rimisho ana shahada ya sayansi katika usanifu majengo (Bachelor of Science in Architecture) na Shahada ya umahiri katika usanifu majengo (Master of Architecture) zote kutoka chuo kikuu cha Ardhi.
Msipotoshe umma kwa uelewa wenu mdogo juu ya maswala ya kijeshi huyu father alipata mafunzo rasharasha ya kijeshi yaani hata mafunzo ya mgambo yako juu yake kupewa hizo nguo na wasudani kusini Haina maana tayari ni mwanajeshi , mtu Toka kujiunga na Jeshi huchukua miaka 15 kua na cheo cha Major hapo kahudhuria kozi nyingi tu za kijeshi achilia mbali miezi 18 hadi 20 ya ukomando kupiga kareti sio komando jamani hizo mtaani wengi tu wanazipiga pia father hajui kuvaa mavazi yanayofanana na Jeshi ni kosa naona wanamheshimu tu kutokana na title yake ya upadre vinginevyo angechukuliwa hatua
 
Nimemkumbuka,Brigedia,Jaji mkuu,Mwanasheria mkuu wa serikali ya Zanzibar na mchungaji ,Augustino Ramadhan
Wapo...

Taasisi hizo za kidini ...wengi wao ni wavaa suti... ...

Maana huko ndio kwa kufanya amani iwepo...wananchi wanakuwa watulivu na kujifunza uvumilivu ..utiifu..na upole .
 
Acha stori za vijiweni huyo padri AJ anasoma. Anachofanya jeshini soma hapa
Na hata ukienda nchi nyingine kama kenya wapo mapadri wa majimbo hivyo vidocumentary na story mnazopeana kuhusu jesuits ni matango pori.
I know work with them and entire church.
Huyu sio mwajiriwa wa JWTZ , JWTZ haijawahi kua na mwajiriwa mtata kama huyu ni msomi ila anga za kijeshi anaonyesha uelewa mdogo
 
Sio mwanajeshi wa JWTZ tusipotoshe ni Apostle of Jesus shirika lililoanzishwa Afrika la mapadri na tena hili shirika liliwahi pigwa ban na Papa liko kwenye rehabilitation sasa hivi...
Aina hiyo ya wanajeshi wanahudumia wanajeshi na familia zao yani ni maparoko wa jeshi ...sio waajiriwa wa jeshi ... MABEYO hamtambui huyu kapteni
Inshort ni tapeli

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom