Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Meja mstaafu John Salingo amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa CCM wilaya ya Dodoma Mjini kwa kupata kura 644 akiwashinda Dk David Malole (269)
na Vanesa Frank ambaye amepata kura 43
Sent using Jamii Forums mobile app
na Vanesa Frank ambaye amepata kura 43
Sent using Jamii Forums mobile app