"Wanga Wabaya" (Yanga Wabaya)Kuna ile aliyoimba na lavalava jina limenitoka kidogo Kali ile mbaya na ile pia aliyoifanya na Malkia karen inaitwa Sina ni . Huyu jamaa amenifanya nipende mziki wa singeli kiasi fulani ana ladha unique tofauti na waimbaji wenzake
Sio kwa Sauti, Siyo kwa Mashairi Ukija Kideo ndio anaua mazima,,Kuna ile aliyoimba na lavalava jina limenitoka kidogo Kali ile mbaya na ile pia aliyoifanya na Malkia karen inaitwa Sina ni . Huyu jamaa amenifanya nipende mziki wa singeli kiasi fulani ana ladha unique tofauti na waimbaji wenzake
Demu wangu, Asiye cheat Nani, chura super star nkSalute Sana Kwake
Sijaona Zaid yake
1. Kidimbwi
2. Mamu
3. Madanga ya Mke Wangu SALUTE sana
Ongezea....
Inaitwa "Wanga"Kuna ile aliyoimba na lavalava jina limenitoka kidogo Kali ile mbaya na ile pia aliyoifanya na Malkia karen inaitwa Sina ni 🔥🔥. Huyu jamaa amenifanya nipende mziki wa singeli kiasi fulani ana ladha unique tofauti na waimbaji wenzake