mimi sioni mgawanyiko wowote ktk jeshi letu!! Ila mashabiki wa chadema ndio wanahamu jeshi ligawanyike wakidhani wao chadema watafaidika na mgawanyiko huo!!! Sasa chadema mumepiga mahesabu vibaya kwani kwa hakika jeshi letu lina nidhamu ya hali ya juu na mgawanyo wa madaraka unafanyika kwa mujibu wa sheria na hapa kauli ya mkuu wa jkt sioni kama inagongana na ya mnadhimu mkuu wa jeshi (shimbo) kwani yeye shimbo aliongelea hali ya usalama wakati wa uchaguzi na huyu wa jkt amewaasa wanajeshi kutoshabikia chama wakati wakiwa wako kazini kijeshi!!
sasa huo mgawanyiko munao utafuta utokee ktk jeshi letu sijui mumeuonea wapi?
chadema wacheni uchimvi na kuwachonganisha maafisa wa jeshi letu! Huu sio ustaarabu wala si uzalendo kuwa na hamu jeshi letu lipatwe na msukusuko kwa faida zenu za kisiasa!!! Yaani munadhani jeshi likigawanyika ndio slaa atakuwa rais!! Munajidanganya!!!
sasa huo mgawanyiko munao utafuta utokee ktk jeshi letu sijui mumeuonea wapi?
chadema wacheni uchimvi na kuwachonganisha maafisa wa jeshi letu! Huu sio ustaarabu wala si uzalendo kuwa na hamu jeshi letu lipatwe na msukusuko kwa faida zenu za kisiasa!!! Yaani munadhani jeshi likigawanyika ndio slaa atakuwa rais!! Munajidanganya!!!