COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Mambo yafuatayo yamenifanya nione Meimosi hii nisiisherekee kwa kukosa imani na vyama vya wafanyakazi.
1. Serikali imevitia kapuni, havina nguvu ya kuishurutisha Serikali kuboresha maslahi ya watumishi.
2. Vyama kushindwa kuwatetea watumishi waliotumbuliwa kwa vyeti feki japo walitumikia nchi hii zaidi ya miaka 35-40 wengi walibakiza miezi au mwaka mmoja kustaafu.
3. Watumishi wanaosumbuliwa na Serikali kila siku, vyama hivyo havina msaada wowote wa kisheria. Vimekuwa navyo ni kandamizi kwa watumishi hao.
Mtumishi amebaki anapambana kivyake kutetea maslahi yake.
SWALI: Hivi hela za watumishi mnazokata kila mwezi zinatumika kuwatoa vitambi na kutengenezea ma t-shirt ya meimosi tu? Kwanini mnashindwa kuwapa watumishi msaada wa kisheria kupitia hela zao hizo?
PENDEKEZO:
Ni ujinga na upumbavu kwa mtumishi kuendelea kukatwa fedha zake kwenye hivyo vyama ambavyo havimsaidii kwa lolote.
1. Serikali imevitia kapuni, havina nguvu ya kuishurutisha Serikali kuboresha maslahi ya watumishi.
2. Vyama kushindwa kuwatetea watumishi waliotumbuliwa kwa vyeti feki japo walitumikia nchi hii zaidi ya miaka 35-40 wengi walibakiza miezi au mwaka mmoja kustaafu.
3. Watumishi wanaosumbuliwa na Serikali kila siku, vyama hivyo havina msaada wowote wa kisheria. Vimekuwa navyo ni kandamizi kwa watumishi hao.
Mtumishi amebaki anapambana kivyake kutetea maslahi yake.
SWALI: Hivi hela za watumishi mnazokata kila mwezi zinatumika kuwatoa vitambi na kutengenezea ma t-shirt ya meimosi tu? Kwanini mnashindwa kuwapa watumishi msaada wa kisheria kupitia hela zao hizo?
PENDEKEZO:
Ni ujinga na upumbavu kwa mtumishi kuendelea kukatwa fedha zake kwenye hivyo vyama ambavyo havimsaidii kwa lolote.