Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
"Wafanyakazi acheni mavi yenu nyumbani"Hivi kauli mbiu ya mwaka jana ilikuaje?
"Wafanyakazi acheni mavi yenu nyumbani"Hivi kauli mbiu ya mwaka jana ilikuaje?
Ha ha babu jinga kabisa wewe"Wafanyakazi acheni mavi yenu nyumbani"
Ole wenu mngeenda na mabango ya kuomba nyongeza ya mshahara. Bashite angewacharaza bakora mpaka msingeaminiHa ha babu jinga kabisa wewe
Mungu fundi sana, ametuinua sanaJiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.
Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.
Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.
Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.
Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.
Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.
Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.
Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.
RIP Chuma aka Jiwe.
Wivu utakuua jamaa ,watumishi kuongezewa salary Ni haki yao Kama ilivyo haki zingine ,ili usiumie Zaid ingia kwenye utumishi na weweKuna watu ni wabinafsi sana yaani wao tu ndio waongezewe mishahara watu hawafiki hata milioni 3 halafu the rest 50 milion waumie kwa gharama za maisha kupanda.
Mambo ya ajabu sana hayo. Kelele mingi tija hakuna.
Otaawitnessj la witnessj
tehOtaa
Ole wenu mngeenda na mabango ya kuomba nyongeza ya mshahara. Bashite angewacharaza bakora mpaka msingeamini
Basi acha aongeze hivyo hivyo,mbona wewe biashara yako inakupa buku kama faida lakini huiachi?we unadhani hiyo nyongeza ndogo haiwezi kuja kukuungisha biashara zako!lengo kubwa hapa ni kuongeze mzunguko wa fedha mtaani ndugu,wote tunategemeana katika maisha kama kwako hazina maana juwa kuna watu zitawasaidiaWatu wanawaza samia akiongeza mshahara ndo atakuwa mtu mwema zaidi ya jpm?
Hivi nyie akili yenu ipo wapi? Mm wakati nikiwa mtumishi wa serikali nakumbuka nyongeza ilikuwa hela ndogo sana. Na maisha yana baki pale pale.
Hata uongezewe laki 2 kama hufanyi kazi kwa bidii ukawa na uwezo wa kufanya kazi za ziada siku zote mshahara hautoshi.
Sasa hivi mnachekelea kweli kweli, ati mkombozi kaja.maskini watumishi macho yapo kwa samia
So sad utaongezewa hako ka mshahara, ununue li tv lako mwizi apite nalo usiku.
Samia ujambazi umerudi kwa kasi ya juu watu hatuna amani tena. Hiyo hela ya nyongeza ya mishahara iwekwe kuendeleza miradi na ulinzi wa raia mali zao.
Kwahiyo umeajiriwa ili uongezewe mshahara tu bila tija yeyote??Wivu utakuua jamaa ,watumishi kuongezewa salary Ni haki yao Kama ilivyo haki zingine ,ili usiumie Zaid ingia kwenye utumishi na wewe
"karma is bitch' kuweka mambo vizuri tu mkuu!Angeongeza mshahara Mwendazake angepata legacy kubwa sana.Lakini sasa karma is a beach.
Ni takwa la kisheria bwasheeMfanyakazi wa serikali nyongeza ya laki moja kila baada ya miaka mi3 haiwezi badili maisha yako. Pambaneni mjiongeze la sivyo hata Mama mtamuona hafai.
Yuko wapi sasa? Mungu hadhihakiwi.Jiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.
Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.
Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.
Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.
Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.
Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.
Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.
Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.
RIP Chuma aka Jiwe.
Kwa roho mbaya aliyokuwa nayo?Angeongeza mshahara Mwendazake angepata legacy kubwa sana.Lakini sasa karma is a beach.
Chuki zenu na jiwe lenu zimeishia wapi?Acha uoga wa maisha wewe, asipowaongeza utafanya nini utaacha kazi?, maana unajilizaliza mbaka unatia huruma,hapo unakazi lakini muogawamaisha ungekuwa huna kazi sindio unge pata kisukari wewe.
Tumia akilizako kujiingezea kipato ukitegemea serikali kiasihicho kunasiku utakuja kulia mbele za watoto wako kama zwazwa, Magu angekuwepo mngetia akilinyie.
R.I.P Jembe.