Mei Mosi Mwanza: Rais Samia ahutubia, aahidi kuongeza mishahara kuanzia mwakani, agusia mafao ya wastaafu

Jiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.

Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.

Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.

Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.

Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.

Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.

Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.

Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.

RIP Chuma aka Jiwe.
Mungu fundi sana, ametuinua sana
 
Kuna watu ni wabinafsi sana yaani wao tu ndio waongezewe mishahara watu hawafiki hata milioni 3 halafu the rest 50 milion waumie kwa gharama za maisha kupanda.

Mambo ya ajabu sana hayo. Kelele mingi tija hakuna.
Wivu utakuua jamaa ,watumishi kuongezewa salary Ni haki yao Kama ilivyo haki zingine ,ili usiumie Zaid ingia kwenye utumishi na wewe
 
Watu wanawaza samia akiongeza mshahara ndo atakuwa mtu mwema zaidi ya jpm?

Hivi nyie akili yenu ipo wapi? Mm wakati nikiwa mtumishi wa serikali nakumbuka nyongeza ilikuwa hela ndogo sana. Na maisha yana baki pale pale.
Hata uongezewe laki 2 kama hufanyi kazi kwa bidii ukawa na uwezo wa kufanya kazi za ziada siku zote mshahara hautoshi.

Sasa hivi mnachekelea kweli kweli, ati mkombozi kaja.maskini watumishi macho yapo kwa samia

So sad utaongezewa hako ka mshahara, ununue li tv lako mwizi apite nalo usiku.

Samia ujambazi umerudi kwa kasi ya juu watu hatuna amani tena. Hiyo hela ya nyongeza ya mishahara iwekwe kuendeleza miradi na ulinzi wa raia mali zao.
Basi acha aongeze hivyo hivyo,mbona wewe biashara yako inakupa buku kama faida lakini huiachi?we unadhani hiyo nyongeza ndogo haiwezi kuja kukuungisha biashara zako!lengo kubwa hapa ni kuongeze mzunguko wa fedha mtaani ndugu,wote tunategemeana katika maisha kama kwako hazina maana juwa kuna watu zitawasaidia
 
Wivu utakuua jamaa ,watumishi kuongezewa salary Ni haki yao Kama ilivyo haki zingine ,ili usiumie Zaid ingia kwenye utumishi na wewe
Kwahiyo umeajiriwa ili uongezewe mshahara tu bila tija yeyote??

Mnavyofisadi mashirika yetu namna hii halafu mnataka tuwaongezee mishahara ndio mnazidi kutupa hasira.

Hivi hujui kwamba kila unapoongeza mishahara unasababisha gharama za maisha nazo kupanda??

Kwahiyo kwa ubinafsi wako unaona ni sawa watu wachache kuwaumiza wengi kila mara??

Hilo ongezeko litazidi basi hata laki??

Ila unajua naumivu yake huku mtaani??

Sidhani kama unafikiri sawasawa, maana inavyoonekana umeshakua kilema wa mshahara.
 
Hii slogan, maslahi bora, mishahara juu ni danganya toto tu ni kama kuwachemshia wanao mawe ukiwapa matumaini ni chakula kitaiva soon. Ila kazi lazima iendelee, hata bila mabadiliko yoyote.
 
Jiwe ndio kiboko ya kila mpuuzi nchi hii.

Enzi hizo mwanaume akiongea kauli ni moja tu na mnaufyata.

Sasa hivi mnaleta unafki wa kupiga kelele mngeongea mbele ya kidume tuone kama mnayaweza.

Mafisadi na vibaraka walikimbia nchi.

Wafanyakazi wazembe na wezi waliichukia serikali maana waliishi kwa halali yao ya mshahara na posho wanayostahili.

Kile kidume ni noma ndio maana wabaya wake bado wanateswa na jinamizi lake wakilala jiwe wakiamka jiwe.

Wananchi wa kawaida wanalia sana kupoteza lile dume la mbegu sababu alisimama nao pamoja na unyonge wao. Aliwapa uhuru wa kweli mwenye biashara alifanya na hakusumbuliwa, aliwapelekea umeme, zahanati, maji na barabara nzuri alihakikisha kinachopatikana kinaenda kuwafaidisha watanzania walio wengi haswa maskini pangu pakavu na ndio maana watampenda daima.

Maofisini huko alipanyoosha at least mwananchi mnyonge alisikilizwa na mtumishi wa serikali tena bila connection wala kutoa rushwa tofauti na tawala zingine.

RIP Chuma aka Jiwe.
Yuko wapi sasa? Mungu hadhihakiwi.
 
Acha uoga wa maisha wewe, asipowaongeza utafanya nini utaacha kazi?, maana unajilizaliza mbaka unatia huruma,hapo unakazi lakini muogawamaisha ungekuwa huna kazi sindio unge pata kisukari wewe.

Tumia akilizako kujiingezea kipato ukitegemea serikali kiasihicho kunasiku utakuja kulia mbele za watoto wako kama zwazwa, Magu angekuwepo mngetia akilinyie.

R.I.P Jembe.
Chuki zenu na jiwe lenu zimeishia wapi?
 
Back
Top Bottom