Mzigdash JF-Expert Member Jun 21, 2015 440 375 May 1, 2021 #2 Nadhani haya mambo yanapangwa makusudi kabisa, kuanzia wiki ijaya mjadala utahama mpaka uteuzi wa MaDC na MaRC..
Nadhani haya mambo yanapangwa makusudi kabisa, kuanzia wiki ijaya mjadala utahama mpaka uteuzi wa MaDC na MaRC..
P Pohamba JF-Expert Member Jun 2, 2015 27,639 61,068 May 1, 2021 #4 Nchi yetu ni nzuri sana, kelele zinapigwa kwa siku kadhaa then kila kitu kinaendelea kama kawa Mwendazake alitumia nguvu kubwa kuzuia report ya CAG wakati haina athari zaidi ya kuongelewa mitandaoni tu kama ngonjera Jk alikuwa na msemo wake '… ni Upepo tu…utapita…' Hata Mwakani itatoka itaukanyaga sana Utawala wa Mama lakin mambo yataendelea Kakoko wa Bandari yupo Mtaani anakula Bia kama kawa
Nchi yetu ni nzuri sana, kelele zinapigwa kwa siku kadhaa then kila kitu kinaendelea kama kawa Mwendazake alitumia nguvu kubwa kuzuia report ya CAG wakati haina athari zaidi ya kuongelewa mitandaoni tu kama ngonjera Jk alikuwa na msemo wake '… ni Upepo tu…utapita…' Hata Mwakani itatoka itaukanyaga sana Utawala wa Mama lakin mambo yataendelea Kakoko wa Bandari yupo Mtaani anakula Bia kama kawa
adden JF-Expert Member Dec 27, 2015 7,035 15,540 May 1, 2021 #5 hii nchi ina wenyewe.. kesi ya nyani huwez kupeleka kwa ndegere
W wakaliwetu JF-Expert Member Jul 16, 2020 671 1,129 May 1, 2021 #6 Sky Eclat said: View attachment 1770255 Click to expand... Ningejua mahala ulipo ningekuja nikukabidhi zawadi walai
Sky Eclat said: View attachment 1770255 Click to expand... Ningejua mahala ulipo ningekuja nikukabidhi zawadi walai