Mei Mosi 2021 kurejesha furaha ya watumishi na wahitimu? Rais Samia ni tumaini jipya

Furaha ya watumishi na wahitimu vyuo mbalimbali itarejea siku chache zijazo yaani Mei Mosi. Watumishi walio wengi wanaishi kwa ⅓ ya mshahara baada ya kuingia kwenye mikopo ili kuinua maisha yao.

Tunatarajia kusikia mambo haya kutoka kwa Rais:
  • Mishahara kupanda
  • Kupanda madaraja
  • Kupanda vyeo
  • Kubadilishiwa muundo kwa waliojiendeleza
  • Kuruhusu uhamisho hasa wa kubadilishana
  • Kutoa ajira mpya
  • Kuondoa kikokotoo kipya
  • Kurekebisha fao la kujitoa na kukosa ajira
  • Kupunguza riba ya HESLB

Hatutegemei kuona TUCTA wakiimba nyimbo za kuabudu bila ujumbe wa maslahi ya wafanyakazi

Pia soma
Umeongea mambo ya msingi sana kwa wafanyakazi,naona kama umemaliza.
 
Hamna hela sukuma Gang wameiba hela zote.
Kwani pesa zinatunzwa nyumbani kwa mtu useme wezi wamevunja nakuiba kibubu? Hao walio zihamisha wanajulikana na wanajijua, unakumbuka wale wabeba pesa kwenye viroba jamani Tanzania
 
Furaha ya watumishi na wahitimu vyuo mbalimbali itarejea siku chache zijazo yaani Mei Mosi. Watumishi walio wengi wanaishi kwa ⅓ ya mshahara baada ya kuingia kwenye mikopo ili kuinua maisha yao.

Tunatarajia kusikia mambo haya kutoka kwa Rais:
  • Mishahara kupanda
  • Kupanda madaraja
  • Kupanda vyeo
  • Kubadilishiwa muundo kwa waliojiendeleza
  • Kuruhusu uhamisho hasa wa kubadilishana
  • Kutoa ajira mpya
  • Kuondoa kikokotoo kipya
  • Kurekebisha fao la kujitoa na kukosa ajira
  • Kupunguza riba ya HESLB

Kwa hali ya uchumi ulivyo nijuavyo kuna vingine aviwezekani hasa la mishahara.
Ila katika hayo ningependa aanze na haya:-
1. Riba HESLB
2. Fao la kujitoa
3. KIkokotoo kipyaa
4. Ajira mpyaa( zile za kureplace waliopo tu, labda mpya kwenye kada ya afya na walimu wa sayansi)
5. Uhamisho ( kwa wale walio tayari kuama kwa gharama zao tu)
6. Kupunguza asilimia ya kodi PAYE.
 
K
Furaha ya watumishi na wahitimu vyuo mbalimbali itarejea siku chache zijazo yaani Mei Mosi. Watumishi walio wengi wanaishi kwa ⅓ ya mshahara baada ya kuingia kwenye mikopo ili kuinua maisha yao.

Tunatarajia kusikia mambo haya kutoka kwa Rais:
  • Mishahara kupanda
  • Kupanda madaraja
  • Kupanda vyeo
  • Kubadilishiwa muundo kwa waliojiendeleza
  • Kuruhusu uhamisho hasa wa kubadilishana
  • Kutoa ajira mpya
  • Kuondoa kikokotoo kipya
  • Kurekebisha fao la kujitoa na kukosa ajira
  • Kupunguza riba ya HESLB

Hatutegemei kuona TUCTA wakiimba nyimbo za kuabudu bila ujumbe wa maslahi ya wafanyakazi

Pia soma
Pia kurejesha Bodi ya Mishahara na Masilahi katka utumishi wa umma iliyovunjwa mwaka jana. Bodi hii ilianzishwa kipindi cha JK. Hii itasaidia kusukuma maendeleo ya mishahara na maslahi.
 
Back
Top Bottom