Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
- Thread starter
- #41
Mama atafanyaMei 1 itutazame nasisi wavuvi ziwa tanganyika uvinza kata ya kalya tumevurugwa na utawala uliopita
Mama atafanyaMei 1 itutazame nasisi wavuvi ziwa tanganyika uvinza kata ya kalya tumevurugwa na utawala uliopita
Umeongea mambo ya msingi sana kwa wafanyakazi,naona kama umemaliza.Furaha ya watumishi na wahitimu vyuo mbalimbali itarejea siku chache zijazo yaani Mei Mosi. Watumishi walio wengi wanaishi kwa ⅓ ya mshahara baada ya kuingia kwenye mikopo ili kuinua maisha yao.
Tunatarajia kusikia mambo haya kutoka kwa Rais:
- Mishahara kupanda
- Kupanda madaraja
- Kupanda vyeo
- Kubadilishiwa muundo kwa waliojiendeleza
- Kuruhusu uhamisho hasa wa kubadilishana
- Kutoa ajira mpya
- Kuondoa kikokotoo kipya
- Kurekebisha fao la kujitoa na kukosa ajira
- Kupunguza riba ya HESLB
Hatutegemei kuona TUCTA wakiimba nyimbo za kuabudu bila ujumbe wa maslahi ya wafanyakazi
Mei Mosi: Je, ni kweli vyama vya wafanyakazi hamkuwa na Ujumbe wowote?
Jana ilikuwa siku ya wafanyakazi duniani. Kutokana na janga hili la Covid 19, shughuli zote za maadhimisho ya siku hiyo, zilisimamishwa ili kuepuka kuenea kwa gonjwa hili linalotishia ustawi wa binadamu duniani kwa sasa. Hata hivyo nina maswali kadhaa kuhusu ukimya wa viongozi watu wa vyama vya...www.jamiiforums.com
Pia soma
Mei Mosi: Wafanyakazi wa Tanzania Tutafakari Kama Tunayosababu ya Kusherehekea
Nakumbuka hata Rashid Kawawa alikuwa ni Secretary General wa Tanzania Federation of Labour wakati wa Ukoloni miaka ya mwisho mwisho kabla ya uhuru. Hata JK Nyerere alitumia platform ya Rashid Kawawa kwenye vyama vya wafanyakazi kuweza kuijenga TANU. Mkoloni alitambua haki za vyama vya...www.jamiiforums.com
Hazina sio Vikoba boss!Hamjasikia kuwa Sukuma Gang wamekomba pesa yote hazina?
Kwani pesa zinatunzwa nyumbani kwa mtu useme wezi wamevunja nakuiba kibubu? Hao walio zihamisha wanajulikana na wanajijua, unakumbuka wale wabeba pesa kwenye viroba jamani TanzaniaHamna hela sukuma Gang wameiba hela zote.
Furaha ya watumishi na wahitimu vyuo mbalimbali itarejea siku chache zijazo yaani Mei Mosi. Watumishi walio wengi wanaishi kwa ⅓ ya mshahara baada ya kuingia kwenye mikopo ili kuinua maisha yao.
Tunatarajia kusikia mambo haya kutoka kwa Rais:
- Mishahara kupanda
- Kupanda madaraja
- Kupanda vyeo
- Kubadilishiwa muundo kwa waliojiendeleza
- Kuruhusu uhamisho hasa wa kubadilishana
- Kutoa ajira mpya
- Kuondoa kikokotoo kipya
- Kurekebisha fao la kujitoa na kukosa ajira
- Kupunguza riba ya HESLB
Asante naomba iwe hivyoMama atafanya
Pia kurejesha Bodi ya Mishahara na Masilahi katka utumishi wa umma iliyovunjwa mwaka jana. Bodi hii ilianzishwa kipindi cha JK. Hii itasaidia kusukuma maendeleo ya mishahara na maslahi.Furaha ya watumishi na wahitimu vyuo mbalimbali itarejea siku chache zijazo yaani Mei Mosi. Watumishi walio wengi wanaishi kwa ⅓ ya mshahara baada ya kuingia kwenye mikopo ili kuinua maisha yao.
Tunatarajia kusikia mambo haya kutoka kwa Rais:
- Mishahara kupanda
- Kupanda madaraja
- Kupanda vyeo
- Kubadilishiwa muundo kwa waliojiendeleza
- Kuruhusu uhamisho hasa wa kubadilishana
- Kutoa ajira mpya
- Kuondoa kikokotoo kipya
- Kurekebisha fao la kujitoa na kukosa ajira
- Kupunguza riba ya HESLB
Hatutegemei kuona TUCTA wakiimba nyimbo za kuabudu bila ujumbe wa maslahi ya wafanyakazi
Mei Mosi: Je, ni kweli vyama vya wafanyakazi hamkuwa na Ujumbe wowote?
Jana ilikuwa siku ya wafanyakazi duniani. Kutokana na janga hili la Covid 19, shughuli zote za maadhimisho ya siku hiyo, zilisimamishwa ili kuepuka kuenea kwa gonjwa hili linalotishia ustawi wa binadamu duniani kwa sasa. Hata hivyo nina maswali kadhaa kuhusu ukimya wa viongozi watu wa vyama vya...www.jamiiforums.com
Pia soma
Mei Mosi: Wafanyakazi wa Tanzania Tutafakari Kama Tunayosababu ya Kusherehekea
Nakumbuka hata Rashid Kawawa alikuwa ni Secretary General wa Tanzania Federation of Labour wakati wa Ukoloni miaka ya mwisho mwisho kabla ya uhuru. Hata JK Nyerere alitumia platform ya Rashid Kawawa kwenye vyama vya wafanyakazi kuweza kuijenga TANU. Mkoloni alitambua haki za vyama vya...www.jamiiforums.com