Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
- Thread starter
- #21
Mkeka lazima utikiHii mikeka itachanika tar 1 may na wafanyakazi hawatoamini
Mkeka lazima utikiHii mikeka itachanika tar 1 may na wafanyakazi hawatoamini
Correct Score haijawai kumuacha mtu salama aisee, ngoja tuone mwisho wa game.Hii mikeka itachanika tar 1 may na wafanyakazi hawatoamini
Maza alikuwepo miaka 6 yote ambayo hakuna pesa iliyoongezeka, alifanya nini?Mkeka lazima utiki
Hakuwa na meno, sasa kapewa meno ya kung'ataMaza alikuwepo miaka 6 yote ambayo hakuna pesa iliyoongezeka.. alifanya nini?
Unasemaje wewe? ni nani huyo hakulala kwa miaka sita? unajua masaibu yaliyowapata wafanyakazi wewe?Pressure ni kubwa kuna mtu hakulala kwa miaka sita lakini bado muda huo wote haukutosha kuibadilisha Tanzania.... kwa maoni yangu nadhani kwa sasa jambo kubwa sio kuongeza mshahara, dunia nzima watu wanapunguziwa mishahara kwasababu ya Covid-19 cha msingi tunaomba ajira kwa vijana wetu through goverment employments from projects or direct employments and from investors, kama wamekomalia watu wajiajiri basi wahakikishe fungu la mikopo rafiki kwa vijana na kina mama linaongezwa maradufu, hapo angalao kila mtu atapata share ya nchi japo kidogo.
Nayajua kwakua nami ni mfanyakazi ila je nawewe unaya feel masahibu wnayoyapata waliokosa ajira ? au ndio kusema mwamba ngoma huvutia kwakeunasemaje wewe? ni nani huyo hakulala kwa miaka sita? unajua masaibu yaliyowapata wafanyakazi wewe?
Aliyesimamisha ajira ndio huyo hyo alisimamisha wafanayakazi kupanda madaraja na nyongeza ya mshahara, ndio maana nasema tusubiri Mei mosi pengine Nchi ikarudi katika mstari ule ule.Nayajua kwakua nami ni mfanyakazi ila je nawewe unaya feel masahibu wnayoyapata waliokosa ajira ? au ndio kusema mwamba ngoma huvutia kwake
Tusubirialiyesimamisha ajira ndio huyo hyo alisimamisha wafanayakazi kupanda madaraja na nyongeza ya mshahara, ndio maana nasema tusubiri Mei mosi pengine Nchi ikarudi katika mstari ule ule
Mtamkataa kalibuni tuFuraha ya watumishi na wahitimu vyuo mbalimbali itarejea siku chache zijazo yaani Mei Mosi. Watumishi walio wengi wanaishi kwa ⅓ ya mshahara baada ya kuingia kwenye mikopo ili kuinua maisha yao.
Tunatarajia kusikia mambo haya kutoka kwa Rais:
- Mishahara kupanda
- Kupanda madaraja
- Kupanda vyeo
- Kubadilishiwa muundo kwa waliojiendeleza
- Kuruhusu uhamisho hasa wa kubadilishana
- Kutoa ajira mpya
- Kuondoa kikokotoo kipya
- Kurekebisha fao la kujitoa na kukosa ajira
- Kupunguza riba ya HESLB
Hatutegemei kuona TUCTA wakiimba nyimbo za kuabudu bila ujumbe wa maslahi ya wafanyakazi
Mei Mosi: Je, ni kweli vyama vya wafanyakazi hamkuwa na Ujumbe wowote?
Jana ilikuwa siku ya wafanyakazi duniani. Kutokana na janga hili la Covid 19, shughuli zote za maadhimisho ya siku hiyo, zilisimamishwa ili kuepuka kuenea kwa gonjwa hili linalotishia ustawi wa binadamu duniani kwa sasa. Hata hivyo nina maswali kadhaa kuhusu ukimya wa viongozi watu wa vyama vya...www.jamiiforums.com
Pia soma
Mei Mosi: Wafanyakazi wa Tanzania Tutafakari Kama Tunayosababu ya Kusherehekea
Nakumbuka hata Rashid Kawawa alikuwa ni Secretary General wa Tanzania Federation of Labour wakati wa Ukoloni miaka ya mwisho mwisho kabla ya uhuru. Hata JK Nyerere alitumia platform ya Rashid Kawawa kwenye vyama vya wafanyakazi kuweza kuijenga TANU. Mkoloni alitambua haki za vyama vya...www.jamiiforums.com
Bora uhai kwanzaCovid -19 ni shida,majirani wanakopeshwa mikopo sababu ya c-19.
Ni ile ile ya enzi za JMK wakati sukari ikiuzwa 1400 kwa kilo leo 2800 kwa kilo. Bidhaa nyingine vivyo hivyo. Kwa kweli mtumishi wa TZ anaishi kimsukule sukule !!Mishahara ya Watumishi wa Umma ipo chini sana(hasa ya walimu), HESLB ni jibu jingine pia.
Hasa ya walimu..Mishahara ya Watumishi wa Umma ipo chini sana(hasa ya walimu), HESLB ni jibu jingine pia.
Mei 1 itutazame nasisi wavuvi ziwa tanganyika uvinza kata ya kalya tumevurugwa na utawala uliopitaFuraha ya watumishi na wahitimu vyuo mbalimbali itarejea siku chache zijazo yaani Mei Mosi. Watumishi walio wengi wanaishi kwa ⅓ ya mshahara baada ya kuingia kwenye mikopo ili kuinua maisha yao.
Tunatarajia kusikia mambo haya kutoka kwa Rais:
- Mishahara kupanda
- Kupanda madaraja
- Kupanda vyeo
- Kubadilishiwa muundo kwa waliojiendeleza
- Kuruhusu uhamisho hasa wa kubadilishana
- Kutoa ajira mpya
- Kuondoa kikokotoo kipya
- Kurekebisha fao la kujitoa na kukosa ajira
- Kupunguza riba ya HESLB
Hatutegemei kuona TUCTA wakiimba nyimbo za kuabudu bila ujumbe wa maslahi ya wafanyakazi
Mei Mosi: Je, ni kweli vyama vya wafanyakazi hamkuwa na Ujumbe wowote?
Jana ilikuwa siku ya wafanyakazi duniani. Kutokana na janga hili la Covid 19, shughuli zote za maadhimisho ya siku hiyo, zilisimamishwa ili kuepuka kuenea kwa gonjwa hili linalotishia ustawi wa binadamu duniani kwa sasa. Hata hivyo nina maswali kadhaa kuhusu ukimya wa viongozi watu wa vyama vya...www.jamiiforums.com
Pia soma
Mei Mosi: Wafanyakazi wa Tanzania Tutafakari Kama Tunayosababu ya Kusherehekea
Nakumbuka hata Rashid Kawawa alikuwa ni Secretary General wa Tanzania Federation of Labour wakati wa Ukoloni miaka ya mwisho mwisho kabla ya uhuru. Hata JK Nyerere alitumia platform ya Rashid Kawawa kwenye vyama vya wafanyakazi kuweza kuijenga TANU. Mkoloni alitambua haki za vyama vya...www.jamiiforums.com