Mei Mosi 2021 kurejesha furaha ya watumishi na wahitimu? Rais Samia ni tumaini jipya

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Furaha ya watumishi na wahitimu vyuo mbalimbali itarejea siku chache zijazo yaani Mei Mosi. Watumishi walio wengi wanaishi kwa ⅓ ya mshahara baada ya kuingia kwenye mikopo ili kuinua maisha yao.

Tunatarajia kusikia mambo haya kutoka kwa Rais:
  • Mishahara kupanda
  • Kupanda madaraja
  • Kupanda vyeo
  • Kubadilishiwa muundo kwa waliojiendeleza
  • Kuruhusu uhamisho hasa wa kubadilishana
  • Kutoa ajira mpya
  • Kuondoa kikokotoo kipya
  • Kurekebisha fao la kujitoa na kukosa ajira
  • Kupunguza riba ya HESLB

Hatutegemei kuona TUCTA wakiimba nyimbo za kuabudu bila ujumbe wa maslahi ya wafanyakazi

Pia soma
 
Siyo rahisi hera bank kuu kuibiwa kama mtu anavyoiba toka mfukoni.Hakuna aliyeiba hera na kama wamefanya hivyo let us wait and hear from OG maana Mh. rais ameshawatask Kuchungulia Transaction zote na Matumizi as from January to March.

so tuwe wapole Kidogo tusipige ramli kwanza watatuambia. Maana Mh. Rais Hataki Waumeume maneno..Spoon ni spoon na Koleo ni Koleo kwenye Utawala wake. Thank you Mama..
 
Mishahara ya Watumishi wa Umma ipo chini sana(hasa ya walimu), HESLB ni jibu jingine pia.
 
Madai yetu watumishi serikali inaweza kuyalipa within No Second
Kinachohitajika ni utashi wa Kisiasa tu

Malimbikizo ya Mishahara
Madaraja yaliyozuiliwa na vyeo tangu 2013 kuna watumishi wanadai madaraja au vyeo viwili
Mapunjo ya mishahara
Hela za uhamisho

Muundo mpya wa utumishi tulioahidiwa na Waziri Mkuu kuwa serikali inaufanyia kazi bado haijatoka

Kufanana kwa mishahara kati ya watu wenye Elimu moja na idara moja ingawa HALMASHAURI ni tofauti

Pia, inahuzunisha yaani masters ya Elimu hiyohiyo ukifanya kazi HALMASHAURI mshahara ni tofauti na anaefundisha chuo tena wengine hata sifa za kufundisha hivyo vyuo unakuwanazo na zaidi

Kama kigezo ni elimu basi lazima mishahara idara ya elimu bila kujali upo primary, sekondari, chuo au HALMASHAURI provided sifa muwe mnafanana
 
Kwa wafanyakazi nadhani mmenielewa na mko kwenye state kama yangu. Tuongeze maombi.
 
Madai yetu watumishi serikali inaweza kuyalipa within No Second
Kinachohitajika ni utashi wa Kisiasa tu

Malimbikizo ya Mishahara
Madaraja yaliyozuiliwa na vyeo tangu 2013 kuna watumishi wanadai madaraja au vyeo viwili
Mapunjo ya mishahara
Hela za uhamisho

Muundo mpya wa utumishi tulioahidiwa na Waziri Mkuu kuwa serikali inaufanyia kazi bado haijatoka

Kufanana kwa mishahara kati ya watu wenye Elimu moja na idara moja ingawa HALMASHAURI ni tofauti

Pia, inahuzunisha yaani masters ya Elimu hiyohiyo ukifanya kazi HALMASHAURI mshahara ni tofauti na anaefundisha chuo tena wengine hata sifa za kufundisha hivyo vyuo unakuwanazo na zaidi

Kama kigezo ni elimu basi lazima mishahara idara ya elimu bila kujali upo primary, sekondari, chuo au HALMASHAURI provided sifa muwe mnafanana
Tuzidi kupaza sauti, tutasikilizwa
 
Kwa wafanyakazi nadhani mmenielewa na mko kwenye state kama yangu. Tuongeze maombi..
Mimi nataka awakumbuke wastaafu pia! Pensheni kuchelewa kwa wastaafu wa nssf tangu afariki Rais Magufuli pensheni haijatoka! Wakati wa uhai wake Magufuli ilikuwa inatoka kila tarehe 23 ya mwezi. Nashukuru mkurugenzi nssf ametumbuliwa, alikuwa na lake jambo!
Pia watumishi waliokuwa wanachama wa ppf bado wanalia na kikokotoo Cha asilimia 25 japo kwa Sasa wapo psssf. Hiyo ni double standard wakati wote ni watumishi wa umma. Wenzao waliokuwa pspf na lapf wanapata mafao Bora.
Bado mafao yanachelewa sana baada ya mtu kustaafu.
 
Eti alikuwa anasema haongez mishahara had amalize kununua ndege na kujenga sgr na flyovers.

Sasa dunian tumeletwa Ili tuishi muda mfupi then tunakufa,na hata uijenge vip hii dunia mwisho wa siku itaondoka tuh,nothing in life is permanent even the world itself is temporary, sasa by the time unaijenga hiyo duniaa usisahau kuish pia, sasa yeye mwendazake alitaka aijenge duniaa huku sisi tukifa na Njaa na frustrations, bora ametanguliaaa.
 
Mkuu mei mosi tunaiangalia kwa macho ya tangazo la chaijaba.

Ingawa sina imani na wanasiasa ila maombi yaendelee maana Mungu ni wetu sote.
 
Eti alikuwa anasema haongez mishahara had amalize kununua ndege na kujenga sgr na flyovers,

Sasa dunian tumeletwa Ili tuishi muda mfup then tunakufa,na hata uijenge vip hii dunia mwisho wa siku itaondoka tuh,nothing in life is permanent even the world itself is temporary,sasa by the time unaijenga hiyo duniaa usisahau kuish pia,sasa yeye mwendazake alitaka aijenge duniaa huku sisi tukifa na Njaa na frustrations,bora ametanguliaaa
Anapanga yake wakati Mungu kishapanga yake, hakujua kuwa dunian twapita.
 
Back
Top Bottom