Mei Mosi 2020: Rais Magufuli atuma salamu za siku ya wafanyakazi, asisitiza waendelee kufanya kazi na kujiepusha na Corona

  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 
Marais nchi jirani wamesimama na wameongea nakuwatia moyo wafanyakazi wa afya huku wakiahidi mazurii siku za usoni.
Wameeleza watakavyo walinda wafanyakazi sekta ya afya nk. Nimefurahi walivyoonesha uongozi kwa vitendo.
Kunanchi ni usiri mtupu na wameshuhudia kikaratasi tuu kuwa wapige kazi as if hawajui wajibu wao mpaka wakumbushwe kilaleo
 
Mie shule zikifunguliwa tu,natoka zangu nanjilinji naenda dar kufundisha. Shule yeyote ile.

Kazi ni popote.

Sent using iphone pro max
 
Aje mstari wa mbele kupambana na corona sio kukimbia wakati wananchi wanakufa
 
Pamoja na salam hizo lakn ni ukatili mkubwa kwa wafanyakaz kutoongezwa mishahara yao kwa miaka mitano hku garama za maisha zkipanda kila leo

Its not over until its over...
 
Huyo bingwa mtoro kazini mwambieni arudi kazini magogoni sheria ya divisheni ya kazi inasema ukiwa mtoro kazini kwa siku tano mfululizo na hujatoa taarifa kwa mwajiri wako huna kazi sasa sisi wananchi ambao ndo waajiri wake hajatuomba ruhusa Wala Nini hukohuko uliko huna kazi ww

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom