Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,565
- 188,767
- Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
- Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
Sisi tutachapa kazi kwa uaminifu na bidii na hatutaitumia corona kama njia ya kuzembea kazi ikibidiImeshatoka hiyo. Tunaelekea May 2 sasa
Umeongezewa wewe na familia yakoWewe kama ni jobless shauri yako,wafanyakazi Wa sekta zote za umma wameongezwa mishahara kimya kimya ,ndio maana huwezi sikia migomo wa kelele zozote ,na wanapokea kwa wakati ,tofauti na enzi za Jakaya Kikwete
Wanaolalamikaga mitandaoni ni masela tu kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais mpumbavu hasa huyu, lenyewe limejificha kuogopa CoronaMh. Rais awasihi wafanyakaz wazidi kuchapa kazi katika kipindi ambacho dunia inapitia kipindi kigumu cha kupambana na Covid19
........View attachment 1436085
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣Huyo bingwa mtoro kazini mwambieni arudi kazini magogoni sheria ya divisheni ya kazi inasema ukiwa mtoro kazini kwa siku tano mfululizo na hujatoa taarifa kwa mwajiri wako huna kazi sasa sisi wananchi ambao ndo waajiri wake hajatuomba ruhusa Wala Nini hukohuko uliko huna kazi ww
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh masikini jiwe
Mnakuwaga na mihemuko kweli watu kama ww