Mei Mosi 2019 - Upande chungwa upande ndimu! wafanyakazi tukutane Mei pili

mkafrend

JF-Expert Member
May 12, 2014
3,047
1,503
Wanabodi, Salaam!

Siku ya wafanyakazi ni tarehe 01/05/2019
Siku hiyo tutashuhudia mambo mengi sana - nadhani tutaelewa faida tulizopata baada ya kuwatumbua wafanyakazi hewa - nadhani tutapata kuambiwa uwekwaji lumpango wa baadhi ya watumishi na wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya Ma DC.

Lakini kubwa zaidi huenda tukapata maneno ya faraja:-
= Kuongezeka mishahara,
= Kupungua kwa kodi kwenye mishahara,
= Kupanda madaraja,
= Ulinganifu wa mishahara (mtumishi mmoja kulipwa 3.5M, Kodi ya nyumba, Umeme, Maji, na simu huku mwingine akilipwa 300,000 pekee),
= Uhamisho wa wafanyakazi, nk

Maendeleo ya Jamii hayana vyama!
Tukutane MEI PILI!

Kabla ya kufika Mei 2, kuanzia sasa upande wa chungwa umechana mkeka wangu - wafanyakazi wa Tanzania poleni kwa malengo yenu kukawizwa - endeleeni kuchapa kazi kwa bidii mishahara itaongezeka 2020 wakati wa uchaguzi - isemeeni vizuri Serikali yetu ya CCM

JPM bado anajenga uchumi wa nchi akimaliza ataongeza mishahara

MK 2019
 
Hapo kwenye mmoja kulipwa 3.5m na marpurupu na mwingine kulipwa laki3 kavu ndo pamenishangaza utasema nchi2 tofauti kumbe ni moja. Delete ccm 2020.
 
Hapo kwenye mmoja kulipwa 3.5m na marpurupu na mwingine kulipwa laki3 kavu ndo pamenishangaza utasema nchi2 tofauti kumbe ni moja. Delete ccm 2020.

Taifa moja,
Nchi moja,
Utamaduni mmoja,
Mahitaji sawia nk

Mwenye sikio yuasikia!
 
Ni ajabu kuisubiria tarehe 01/05/2019 kuleta chochote cha maana bila kwanza kuonesha juhudi za makusudi kuwasilisha fikra, dukuduku na madai ya wafanyakazi ngazi zinazohusika.

Ni ajabu kusubiria kiongozi mmoja tu ndo aote ndoto nzuri juu ya mustakabali wa wafanyakazi wa nchi hii..
Ni ujinga kuweka matarajio kuwa mambo yatabadilika kutokana na hotuba ya kiongozi mmoja tu tena bila matamko yake kufuata utaratibu wa kisheria.

Ni ujinga uliopitiliza.. Narudia tena.. Ni ujinga uliopitiliza kushiriki maadhimisho ya Mei Mosi mwaka huu bila kuonesha harakati zozote za kudai stahiki za kisheria za wafanyakazi wa nchi..

Ebu niulize... kwani mwajiri akikuajiri kazi mshahara wako unahusiana vipi na mikakati yake ya kujitanua kimaendeleo?
Yaani unapewa maelezo yasiyokuwa na mashiko (tena kwa njia ya karipio) kuwa hutoongezwa mshahara kwa sababu kwa sasa tunafanya hiki, tunafanya kile ambacho kimantiki hakina manufaa ya moja kwa moja kwako wewe kama mfanyakazi..!!
Enyi wafanyakazi wa nchi; ebu amkeni usingizini..!!
Amkeni kabla hamjageuzwa geuzwa kama chapati..!!
Amkeni kabla hamjauzwa jumla na taslimu na hao hao mnaowaita viongozi wenu..!!

Ishu nyingine muhimu ambayo ningependa kusikia ikiibuliwa tena... "Fao La Kujitoa"... Pesa ni za kwako kwanini usipewe..??
Kama kwenye ajira hakuna mishahara inayokua... Unadhani hayo mafao yatapata fursa ya kukua?
Kama ajira ni mateso.. Kila mwenye uthubutu wa kuacha kazi apewe chake mapema.. Kila mtu ana akili za kutumia fedha zake kadri ya matakwa yake..!!
Amkeni wafanyakazi!
Amkeni wafanyakazi!
 
Wanabodi, Salaam!

Siku ya wafanyakazi ni tarehe 01/05/2019
Siku hiyo tutashuhudia mambo mengi sana - nadhani tutaelewa faida tulizopata baada ya kuwatumbua wafanyakazi hewa - nadhani tutapata kuambiwa uwekwaji lumpango wa baadhi ya watumishi na wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya Ma DC.

Lakini kubwa zaidi huenda tukapata maneno ya faraja:-
= Kuongezeka mishahara,
= Kupungua kwa kodi kwenye mishahara,
= Kupanda madaraja,
= Ulinganifu wa mishahara (mtumishi mmoja kulipwa 3.5M, Kodi ya nyumba, Umeme, Maji, na simu huku mwingine akilipwa 300,000 pekee),
= Uhamisho wa wafanyakazi, nk

Maendeleo ya Jamii hayana vyama!
Tukutane MEI PILI!
Umekua muungwana, hongera kwa hilo ila serikali hii ya mabavu no madaraja labda annual Increment
 
Ni ajabu kuisubiria tarehe 01/05/2019 kuleta chochote cha maana bila kwanza kuonesha juhudi za makusudi kuwasilisha fikra, dukuduku na madai ya wafanyakazi ngazi zinazohusika.

Ni ajabu kusubiria kiongozi mmoja tu ndo aote ndoto nzuri juu ya mustakabali wa wafanyakazi wa nchi hii..
Ni ujinga kuweka matarajio kuwa mambo yatabadilika kutokana na hotuba ya kiongozi mmoja tu tena bila matamko yake kufuata utaratibu wa kisheria.

Ni ujinga uliopitiliza.. Narudia tena.. Ni ujinga uliopitiliza kushiriki maadhimisho ya Mei Mosi mwaka huu bila kuonesha harakati zozote za kudai stahiki za kisheria za wafanyakazi wa nchi..

Ebu niulize... kwani mwajiri akikuajiri kazi mshahara wako unahusiana vipi na mikakati yake ya kujitanua kimaendeleo?
Yaani unapewa maelezo yasiyokuwa na mashiko (tena kwa njia ya karipio) kuwa hutoongezwa mshahara kwa sababu kwa sasa tunafanya hiki, tunafanya kile ambacho kimantiki hakina manufaa ya moja kwa moja kwako wewe kama mfanyakazi..!!
Enyi wafanyakazi wa nchi; ebu amkeni usingizini..!!
Amkeni kabla hamjageuzwa geuzwa kama chapati..!!
Amkeni kabla hamjauzwa jumla na taslimu na hao hao mnaowaita viongozi wenu..!!

Ishu nyingine muhimu ambayo ningependa kusikia likiibuliwa tena... "Fao La Kujitoa"... Pesa ni za kwako kwanini usipewe..??
Kama kwenye ajira hakuna mishahara inayokua... Unadhani hayo mafao yatapata fursa ya kukua?
Kama ajira ni mateso.. Kila mwenye uthubutu wa kuacha kazi apewe chake mapema.. Kila mtu ana akili za kutumia fedha zake kadri ya matakwa yake..!!
Amkeni wafanyakazi!
Amkeni wafanyakazi!
Nchi ya wadanganyika
 
kila mwaka kwenye maazimisho walimu huja na sare mpya.mara za manjano mara za kibuluu ile hali mishahara na maslahi ya walimu yapo taabani.hakuna wa kuwatetea au kuwasemea.
mtasemewa na nani wakati viongozi wenu wamehongwa nanyi mmepewa tsheti za kibuluu na kumuita muajili shemeji?
swali
May mosi hii mtavalishwa za rangi ganii? je tsheti ni motivation kw walimu? je ni motisha kama kuwalipa mishahara bora na posho ikiwemo nauli za likizo? je ni kweli kuna mahusiano kati ya madaraja na reli zinazojengwa na mishahara yenu?
 
kila mwaka kwenye maazimisho walimu huja na sare mpya.mara za manjano mara za kibuluu ile hali mishahara na maslahi ya walimu yapo taabani.hakuna wa kuwatetea au kuwasemea.
mtasemewa na nani wakati viongozi wenu wamehongwa nanyi mmepewa tsheti za kibuluu na kumuita muajili shemeji?
swali
May mosi hii mtavalishwa za rangi ganii? je tsheti ni motivation kw walimu? je ni motisha kama kuwalipa mishahara bora na posho ikiwemo nauli za likizo? je ni kweli kuna mahusiano kati ya madaraja na reli zinazojengwa na mishahara yenu?


Kuna shule moja ya msingi nimepita leo nikakuta watoto wanaanza kujifunza vinyimbo vya kuimba siku ya Kumpokea Jiwe hapa Mbeya,,Bado sijajua watavaa tishet za rangi gani Mkuu ,,
 
Wanabodi, Salaam!

Siku ya wafanyakazi ni tarehe 01/05/2019
Siku hiyo tutashuhudia mambo mengi sana - nadhani tutaelewa faida tulizopata baada ya kuwatumbua wafanyakazi hewa - nadhani tutapata kuambiwa uwekwaji lumpango wa baadhi ya watumishi na wafanyakazi unaofanywa na baadhi ya Ma DC.

Lakini kubwa zaidi huenda tukapata maneno ya faraja:-
= Kuongezeka mishahara,
= Kupungua kwa kodi kwenye mishahara,
= Kupanda madaraja,
= Ulinganifu wa mishahara (mtumishi mmoja kulipwa 3.5M, Kodi ya nyumba, Umeme, Maji, na simu huku mwingine akilipwa 300,000 pekee),
= Uhamisho wa wafanyakazi, nk

Maendeleo ya Jamii hayana vyama!
Tukutane MEI PILI!
Ulinganifu wa mishahara tungeanza na Wabunge.Kama ana degree moja alipwe mshahara wa degree moja.kama La Saba alipwe mshahara wa la Saba.tupunguze matumizi
 
Back
Top Bottom