Mei Mosi 2012: JK akasirishwa na utafunaji wa pesa za umma, wahusika kukiona...

JK kumbe anajua ubadhirifu halmshauri tangu siku nyingi. Kumbe alimwita Uttoh akawachane Mawaziri na Makatibu Wakuu.
baada ya kuwachana wakarudi wizarani business as usual! what a president????
 
jk Bwn!!! anatia huruma. Hivi anataka tuamini kuwa wizi umeanza leo? Tangua aingie madarakani kila mwaka hivi hivi. Sasa ameona mambo yamemzidi na anakuja na upuuzi huu. Toka hapo.

Mmmekula mmeshiba na kujaza a/c zenu nje ya nchi na leo analeta porojo et????

hivi we jk, wazee wa EA wanadai kiasi gani????? Je walimu? Linganisha na Trillion 5 kwa magari ya serilkali
 
usipate kigugumizi kukiri kuwa utayari wa RAIS ndo umefanya tukajua tuliyoyajua,na usisite kumpongeza kwa hatua hii ya kwanza maana hao wenzie walopita hata hii wameshindwa,jiulize Accounting package ya chama chako mlonunua toka kwa Josephine mshumbuz ilifata taratibu za manunuzi?? CAG angekuwa anapita huko mngedai katumwa kuwavuruga!
funguka macho wewe kipofu!! rais analist matatizo tu! no solution any fool can do this!!
 
sijaona jipya kwa JK katika hili.Hivi EPA si alikuwa na maneno hayahaya?.Sina data sawasawa za mafanikio ya kauli na malengo yake yametekelezeka kiasi gani.
 
halmashauri hawawezi kuacha kuiba kama baba zao wa wizarani hawawajibishwi.
tabia ya mchwa ni kufanya kazi kwa umoja,mimi naamini mchwa wa halmashauri wanashirikiana na mchwa wakubwa wa wizarani.
 
Hata Kamati Kuu ya CCM imeshatoa 'go - ahead'. So afanye fasta. Ila sasa watakaowekwa kwenye hizo nafasi wasije wakawa ni manyang'au kuliko waliokuwepo!!!
 
Can someone tell his excellencies the president that no one with the right state of mind and aware of our political situation will question his efforts to establish monitoring systems like CAG office but the way he in his authoritative position is dealing with individual who have failed to act acountably.
 
Mfumo wa ccm wa sasa hauruhusu mtu msafi kufanya kazi za uongozi na utawala kwa hiyo ni kutoa mchwa na kuweka panya hakuna jipya hapo!!!!!!!!
 
tunashukuru kwa kuonyesha nia. Labda kwa kua hela za safari zimepungua.!
 
Naona MOD umeblend izi post ila mine was too specific
Ata JK alisema kuwa ameichomekea tuu haikuwepo kwenye hotuba yake kwa wafanyakazi
 
Awapongeza wa bunge kwakazi waliyoifanya kule Bungeni kwa jinsi walivyo jadi taarifa ya CAG na kawaomba taarifa zote za CAG zijadiliwe bungeni na zipewe mda mrefu wakujadiliwa!Kawahaidi kutekeleza yale yaliyosemwa kwenye taarifa ya CAG
JK achukizwa na ubadhirifu wa pesa za umma serikali za Mitaa na Wizarani.
Kwa hotuba hii ya JK mawaziri wanapigwa chini shortly!!

The guy JK knows how to play with public minds!!!
 
Binafsi nitazidi Kumpenda na Kumuheshimu my presdnt Excelence Dr J.M.KIKWETE kwa mambo 2 makubwa mawili..
1/UWAZI : KWA HILI MKUU YUKO JUU SANA ..INGEKUWA SERIKARI YA KIDIKTETA,HAYA LEO 2SINGEYASIKIA...

2/MJADALA WA KUANDIKA KATIBA MPYA....

HÖNGERA SANA J.K ingawa hakujibu hoja za msingi za wafanyakazi..
 
Back
Top Bottom