"Nasema hivii Harry chapa kaziii" In Marehemu Pombe's Voice
"Nasema hivii Harry chapa kaziii" In Marehemu Pombe's Voice
Paka jina la mtoto yule bibi aidhinishe??? Hii familia ina tabu saana. Ndio maana wakaondoka
Alishindwa kabisa ku control Diana, na Meghan ninaona ni kama Diana
Sasa hivi hawapewi tena mrija umekataHakuna mtu muongo kama meghan,, nlimsikiliza kwenye ile interview na oprah,,, haki ya nan,, prince amevagaa cha kike,, wanamponda queen wakat pesa zao za expenditure znatoka kwa palace,,.
Meghan kaharibu mtt,, mama yake na kuwa rebellious kote kule hakuwah kujitoa kuwa sio wa loyal line,,,, that brat kaharibu Harry's life
Lilibet lilikuwa jina la Princess Diana la kwenye Kasri kama AKA yake so huyo mtoto wamempa majina ya Princess Diana
Hilo jina ni Aka ya Elizabeth alipokuwa mtoto alikuwa hawezi kutamka Elizabeth, hizi habari nimeziona sehemu watu wanawa criticise kwamba hawakutaarifu malkia juu ya hilo jina.
As if Harry ni mtoto....Meghan kaharibu mtt,, mama yake na kuwa rebellious kote kule hakuwah kujitoa kuwa sio wa loyal line,,,, that brat kaharibu Harry's life
Write your reply...anaitwa Lilibet, acha kutudanganya.
Sijui vizuri habari zao, malkia na mkwewe haziivi?Paka jina la mtoto yule bibi aidhinishe??? Hii familia ina tabu saana. Ndio maana wakaondoka