Hapa nafsi yangu imeridhika sasaNdo naingia humu mkuu....jamani hongera zao
Am so happy to both Harry & Meghan
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Karibu mkuuHapa nafsi yangu imeridhika sasa
Uzi ndio umekamilika huu
😄😄😄😄😄Sawa sawa nawaona wamatumbi wa kiingereza mnamuwishi ndugu yenu
Jr!? Tobaa! Lugha za watu hizi!!Hawa watu Mungu awalinde na kuwapigania sana. Mungu ambariki sana mtoto huyu Princess Dana Jr.
Itakuwa upo peke yako tu mkuu.Jamani ni mimi tu ndio siwajui hao au?
Could be senior may be? Masculine Vs Femine. Usawa wa kijinsia siku hizi. Hata hivyo nashukru angalau wewe umeweza kuona!Jr!? Tobaa! Lugha za watu hizi!!
Hilo jina ni Aka ya Elizabeth alipokuwa mtoto alikuwa hawezi kutamka Elizabeth, hizi habari nimeziona sehemu watu wanawa criticise kwamba hawakutaarifu malkia juu ya hilo jina.Lilibet lilikuwa jina la Princess Diana la kwenye Kasri kama AKA yake so huyo mtoto wamempa majina ya Princess Diana
Paka jina la mtoto yule bibi aidhinishe??? Hii familia ina tabu saana. Ndio maana wakaondokaHilo jina ni Aka ya Elizabeth alipokuwa mtoto alikuwa hawezi kutamka Elizabeth, hizi habari nimeziona sehemu watu wanawa criticise kwamba hawakutaarifu malkia juu ya hilo jina.