Megastructures mlizozipinga zimeibadili taswira ya Tanzania, mlikurupuka kumkosoa Rais Magufuli

Mko vizuri sana kwenye taarifa za kwenye makaratasi! Ila ukija kwenye maisha halisi ya Watanzania, mambo ni tofauti kabisa.

Mna mkakati wowote ule wa kuboresha kilimo awamu hii? Mna mkakati wa dhati wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara?

Mna mkakati wowote ule wa kupunguza tatizo la ajira na pia kuboresha maisha ya wafanyakazi? Kote huko majibu yamekaa kisiasa na kinadharia zaidi! Kubali tu, Raus wako kipenzi ni failure!!
Unauliza mkakati wa kukuza kilimo hujui?

Ajira ni suala gumu dunia nzima.
 
Kwamba send ya Magufuli ni zaidi ya park station Jhb?

Park station ina safu tatu juu kabisa ni kituo cha hiace taxi ,katikati ni mabasi ya mikoani na chini kabisa ni metro rail na shosholoza meyl.
Park station ipo city Centre ,hii ya kwetu ipo out skirts . Ukweli ni kuwa bado sana sisi kufukia level za park station
 
Kwamba send ya magufuli ni zaidi ya park station Jhb?
Park station ina safu tatu juu kabisa ni kituo cha hiace taxi ,katikati ni mabasi ya mikoani na chini kabisa ni metro rail na shosholoza meyl.
Park station ipo city Centre ,hii ya kwetu ipo out skirts . Ukweli ni kuwa bado sana sisi kufukia level za park station
Magufuli bus terminal ni ya kisasa zaidi. Kuwa nje ya mji sio sababu kuwa haina ubora wa kimataifa.

Hizo kevel tatu sio sababu ya kuwa ya kisasa kama Magufuli bus station
 
Magufuli bus terminal ni ya kisasa zaidi. Kuwa nje ya mji sio sababu kuwa haina ubora wa kimataifa.

Hizo kevel tatu sio sababu ya kuwa ya kisasa kama Magufuli bus station
Ukisasa wake ukoje kulinganisha na hio park?
 
Mko vizuri sana kwenye taarifa za kwenye makaratasi! Ila ukija kwenye maisha halisi ya Watanzania, mambo ni tofauti kabisa.

Mna mkakati wowote ule wa kuboresha kilimo awamu hii? Mna mkakati wa dhati wa kuboresha mazingira ya kufanya biashara?

Mna mkakati wowote ule wa kupunguza tatizo la ajira na pia kuboresha maisha ya wafanyakazi? Kote huko majibu yamekaa kisiasa na kinadharia zaidi! Kubali tu, Raus wako kipenzi ni failure!!

ndo maaana tukiwaambia upinzani ni mashudugu mue mnaelewa! dogo, kukua kwa uchumi wa nchi sio lazima uguse kila mtanzania, infact haiwezekani wote tue above kimaisha, capitalism haipo ivo! lazima kue na upper class, middle class na lower class! ama hujasoma capitalism shuleni? kwan unadhan marekani wananchi wote wanaishi maisha mazuri? hakunaga uchumi shirikishi kwenye capitalism bali kila mtu anapambana ndo maaana kuna msemo unaitwa SURVIVAL FOR THE FITTEST!
 
Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.

Wakiona serikali inajenga shule,hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.

Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais.Naweka baadhi ya mifano.Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +. Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg park station.

Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuw ni mzee wq kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?

My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.
Haya na huku mlikokusahau hata lami hatuna toka uhuru bado tumsifie. Masasi to nachingwea
 
Hakuna haja ya picha, Magufuli bus terminal ni ya kisasa zaidi
Sisi tunataka ajira. We unatuletea mapichapicha. Kwani jk hakuviona hivyo! Mbona alitilia maanani ajira na kutoa ajira kila mwaka. Vyeti vinaozea ndani tu yeye anaona barabara tu ili kutafuta international prides wakati tunakufa huku.
 
Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.

Wakiona serikali inajenga shule,hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.

Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais.Naweka baadhi ya mifano.Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +. Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg park station.

Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuw ni mzee wq kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?

My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.
Ujinga mtupu
 
Sisi tunataka ajira. We unatuletea mapichapicha. Kwani jk hakuviona hivyo! Mbona alitilia maanani ajira na kutoa ajira kila mwaka. Vyeti vinaozea ndani tu yeye anaona barabara tu ili kutafuta international prides wakati tunakufa huku.
Haaaa. Unategemea ajira serikalini? Unajua wakati wa Jakaya serikali ilikuwa imeajiri watumishi kama laki nne. Tumia akili.
 
Sisi tunataka ajira. We unatuletea mapichapicha. Kwani jk hakuviona hivyo! Mbona alitilia maanani ajira na kutoa ajira kila mwaka. Vyeti vinaozea ndani tu yeye anaona barabara tu ili kutafuta international prides wakati tunakufa huku.

ivi ni lazima ajira itoke serikalini? vp wale wanaoenda kufanya kazi nje ya nchi? inamaanisha nn kwako wewe unaekaa na kulalamika kila sku?
 
Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.

Wakiona serikali inajenga shule,hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.

Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais.Naweka baadhi ya mifano.Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +. Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg park station.

Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuw ni mzee wq kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?

My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.
Maendeleo ya nchi siyo vitu pekee, mbona Ethiopia wana mavitu mengi lakini raia wao ndo wanatoroka nchi kila siku
 
Haaaa. Unategemea ajira serikalini? Unajua wakati wa Jakaya serikali ilikuwa imeajiri watumishi kama laki nne. Tumia akili.
Nini maana ya serikali? Ukijua Hilo basi utakubali kwamba it is there for the people's needs not for its own sake as what ******** does
 
ivi ni lazima ajira itoke serikalini? vp wale wanaoenda kufanya kazi nje ya nchi? inamaanisha nn kwako wewe unaekaa na kulalamika kila sku?
Nini maana ya serikali? Ukijua Hilo basi utakubali kwamba it is there for the people's needs not for its own sake as what ******** does
 
Nini maana ya serikali? Ukijua Hilo basi utakubali kwamba it is there for the people's needs not for its own sake as what ******** does

serikali its for the people ila haina uwezo wa kuajiri nchi nzima, na hakuna serikali duniani inaweza kuajiri nchi nzima, infact kodi tanzania its only 18% and what your expecting ni kuajiri nchi nzima? akili unazo timam?

--- Dunia inaelekea kwenye kitu kinaitwa decentralised systems, meaning mifumo isiopitia serikalini mfano kwenye monetary kuna kitu kinaitwa block chain, izi haziwi controlled by any government mfano bitcoin, je tukisha decentralise kila kitu utamtupia nan lawama zako?
 
Wapinzani wa Tanzania wanakasumba mbaya sana. Wao kila jambo ni kukosoa tu.

Wakiona serikali inajenga shule,hospital, barabara au stendi ya mabasi wao ni kukosoa tu.

Nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana kwenye miji yetu tangu JPM awe rais.Naweka baadhi ya mifano.Nilishuhudia mkoa wa Singida ukipata stendi mpya ya kisasa iliyogharaimu bil 12 +. Pia tumeshuhudia stendi mpya ya kisasa jijini Dodoma na soko kubwa la kisasa la Ayubu Ndugai. Stendi mpya ya mabasi ya Magufuli ni ya kutiliwa mfano. Maana ni zaidi ya Johanesburg park station.

Wapinzani tokea JPM aingie madarakani mlikuwa mnakosoa na kumdhihaki kuw ni mzee wq kupenda Megastructures. Je, sasa hamuoni zilivyobadili taswira ya taifa letu? Hamuoni kuwa ni kaendeleo makubwa na miundo mbinu ya kisasa ambayo itaongeza mapato kwa taifa?

My take; Tusipende kukosoa kila kitu,hata mradi wa JNHPP ukikamilika itakuwa ni Megastructure inayotusaidia.
Hata akiamua kuwapa pesa bila kuitolea jasho watalalama tuu. Hao ndio wananchi wa Jamhuri ya Mitandaoni.
 
serikali its for the people ila haina uwezo wa kuajiri nchi nzima, na hakuna serikali duniani inaweza kuajiri nchi nzima, infact kodi tanzania its only 18% and what your expecting ni kuajiri nchi nzima? akili unazo timam?

--- Dunia inaelekea kwenye kitu kinaitwa decentralised systems, meaning mifumo isiopitia serikalini mfano kwenye monetary kuna kitu kinaitwa block chain, izi haziwi controlled by any government mfano bitcoin, je tukisha decentralise kila kitu utamtupia nan lawama zako?
kwani mkuu ile nafasi ya balozi Kijazi si ilishapata mtu au kuna nafasi nyingine unatarget?
 
Back
Top Bottom