Ufunuo wa Yohana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 318
- 67
Uteuzi wa Balile kuwa msaidizi wa Rweyemamu Ikulu...hahahahah
Ni hilo tu? Asalaleeeeee
Uteuzi wa Balile kuwa msaidizi wa Rweyemamu Ikulu...hahahahah
Kumbe aliwaita waandishi ili kuwapa ratiba ya safari zake kama chairman wa AU
Haya kulikoni au ndio time za kiafrika wakisema saa saba na nusu they mean saa kumi na nusu? Kweli tuna safari ndefu haahaa haaaaa....................................
Kumbe aliwaita waandishi ili kuwapa ratiba ya safari zake kama chairman wa AU
Hakuongea JK... Salva ndiye kaongea! Hili halikuwafurahisha waliofika.
Hakuongea JK... Salva ndiye kaongea! Hili halikuwafurahisha waliofika.
Kumbe aliwaita waandishi ili kuwapa ratiba ya safari zake kama chairman wa AU
Mkuu nadhani tushakwambieni nini kimeongelewa na nani kaongea.
Kwa kirefu ni kuwa JK anaondoka nchini Kesho kwenda Ethiopia kwenye makabidhiano ya nafasi aliyo nayo na baadae ataelekea Uganda kwenye suala la amani ya Kanda ya Maziwa makuu maalum kwa ajili ya amani ya Burundi ambayo sasa inaelekea kutetereka.
Nadhani umenisoma!
Zimbabwe issue lazima ipo, Mafisadi wake nao wamo.
Ndio maana naendelea kusisitiza kuwa, wabunge waanze kuomba kichwa cha JK ili kabla ya 2010 wawe wamemng'oa. Bila ya hivyo tutakesha naye hadi 2015, halafu wote tutabaki hoi bin taabani.