Meet the person who executes the death penalty in Uganda - Luzira Prison

Mimi naunga mkono adhabu ya kifo iendelee..Nukta.
Hamna sababu yoyote ya kujiulizauliza mara mbili kwanini mtu asinyongwe hadi kufa, kama mtu huyo alichukua uhai wa mwingine while unprovoked and in no immediate danger to his/her own life at the moment of the act.

Kwa nyie ndugu zetu hiyo sio ajabu.
 
Nimesoma hii atiko jana,leo asubui tena nimeirudia hivi unamnyonga vipi mtu huku unamuangalia,nimewaza mambo mengi sana hadi nimeogopa. Nimefikiria kama nipo kwenye tukio nashuhudia hadi nimeogopa.. Unamtoa chumbani,unampeleka kwa ndgu zake,wanaomba pamoja,unamwambia achague chakula akitakacho anakula kisha unamfunga kitambaa cheusi unamnyonga,kama hajafa unampiga na nyundo kichogoni hadi afe,yani nimeogopa.

Hapo lazima "mmea" utumike.
 
Dah. 'How you tie the knot that crushes the neck',afu wakifa wanamwagiwa acid.what for? ukute hata mkewe hajui afanyayo!
 
When there are mistakes Micheal says in the event that the prisoner is not dead, they are hit hard at the back of the head with a hammer or a crow-bar.
Ab-Titchaz hapa ndio pameniacha hoi kabisa imebidi niagize chupa kubwa ya maji ya kilimanjaro
 
Last edited by a moderator:
Hapo lazima "mmea" utumike.

yaan mm nimetetemeka had utumbo.

Yani hii mada siku nimeisoma iliniharibia siku kabisa,yani kila nikiisoma siku yangu inaharibika kabisa. Najiuliza mambo mengi sana kuhusu huyo jamaa na nayo matukio.

Inaonekana alianza kazi hii akiwa kwenye miaka 20,maana kama ajila za mwisho zilitolewa miaka ya 80 na yeye ana 50 na ushee basi aliianza mapema sana na kanyonga watu zaidi ya 100. aliwanyonga mtu na mdogo wake siku moja,yani sipati picha siku hiyo anawatoa hao jamaa chumbani kwao,anawapeleka kwa ndugu zao,wanaomba,wanakula chakula wanachokitaka kisha anawapeleka death chamber.

  • Najiuliza siku hiyo walizungumza nini?
  • Je anapowatoa vyumbani mwao huwa anaongea nao?
  • Hana hata ubinadamu?
  • Je chakula hicho wanachopewa cha mwisho kweli kunaingia wakati mtu anajua akimaliza kula ananyongwa?
  • Je baada ya mtu kula anapewa muda gani kupumzikika chakula kiingie angalau?

Kwa kweli capital punishment inabidi iondolewe. Ni bora mtu apewe life impoverishment with hard labor.
 
Hapo mnyongwaji hana noma. Shida ipo kwa anayesubiri zamu yake....anasema, wanasikia sauti toka chumba cha kunyongea, wanasikia misumari ikigongwa kwenye geneza, dah! Kazi imeisha. Kiakili jamaa wanapata shida sana.
 
Yeye hizi feedback za maumivu ya vifo huwa anazipata kutoka wapi? Marehemu wanampatiaga reports au alishajaribu kufa mara kadhaa akaona hiki cha kwake ndicho best practice?

Kwa kweli kazi zingine hizi, hapana!!!!.



Mie hapa nd'o kaniacha hoi mazee...
 
When there are mistakes Micheal says in the event that the prisoner is not dead, they are hit hard at the back of the head with a hammer or a crow-bar.
Ab-Titchaz hapa ndio pameniacha hoi kabisa imebidi niagize chupa kubwa ya maji ya kilimanjaro
Hehehehe!...hata sijui analala vipi nyumbani huyu mtu aisee. Kumpiga mtu na nyundo kichwani si machezo mazee...
afu unampiga ili kumuua eti...gaadem!
 
:pop2::pop2: kama vile horror movie!
Anyways, hiii adhabu ya kifo aisee inafaa kuwa reserved for wale wauaji sugu tu! Na hata hivyo iwe kwa namna nyingine na siyo kunyongwa na kupigwa nyundo kichwani. They are more decent ways to kill. Mtu akinyongwa anaweza hata akajikojolea au kujinyea na huo sio ustaarabu na ni kumshushia hadhi mtuhumiwa.
Eg. Electric chair au poison gas chamber!
PS; Am i the only one thinking those priests there are misplaced? They should be fighting to abolish the death penalty not witnessing it!
 
Back
Top Bottom