Meena Ally wa Clouds FM ananikosha sana

Lamar BlacAmerican

JF-Expert Member
Aug 9, 2013
950
2,258
Daaah, huyu dada mpemba ananikosha sana especially sauti yake. Anaitwa Meena Ally ni mtangazaji wa Clouds kipindi cha Amplifaya na kipindi cha Niambie.

Mwenye kujua information zaidi za huyu dada atiririke tafadhali...

5dbf2feb346d53eab2901558dfe728f9.jpg
b8a44e7e907ec0468aff2da43d54896d.jpg

ed8988dc13a114a5aa2dfc9e154a1134.jpg
ef8b9c452f269ab5795c680cc70bb6fa.jpg
 
Kiukweli mimi nilikuwa namkubali sana kipindi chake cha NIAMBIE.

Alipokuja tu AMPLIFIER, aaaagh!. Kaharibu kipindi kabisa. Na vyeo vyote nilivyomtundika nimemvua vyote.
We unavyoona angekaa kipindi gani tofauti na Niambie na Amplifier?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom