Hahaha hahahahaha hahaha!!!!!!!!!! We ni nomaaaKupiga mbonji na kugegeda ndo meditation zangu! kama kugegeda sijui unajisikia uko wapi wapi tu hasa wakati wa wazungu wanataka kutoka! nanguvu huongezeka maradufu unaweza hata mnyanyua tembo...!
Mmh nani huyo? Anapostia mtandao gani?
Mkuu ulisema utakuja na thread yako kuhusu ile kazi ya kuchoma maiti vp imefikia wap?Asante binamu
Acha mawazo ya kimaskini Mungu hachoki,kama ange choka kuna siku tungeamka tukute jua linachomoza magharibiSometimes tunamchosha Mungu bure
Imani yangu kamwe haiwezi nilemeaHaya asante lakini angalia imani isiwe mzigo kwako
Sawa kakaKesho usijali
Weee thubutu bebe wangu bado ananipenda akiniacha ntajaribuHii wala sikushauri ujaribu hutaweza hii ni level ya juu na practice ya muda mrefu, naweza kukushauri kujaribu kuacha kupumua kwa sekunde 30, ukifanikiwa acha kwa dakika nzima, endelea mpaka uweze dk 5 na kuendelea, yani huvuti pumzi ndani wala kuitoa nje... Hapo ulipo unaweza kujaribu
Hii ndio death meditation, unakuwa na uwezo wa kutopumua kabisa kwa muda fulani, lakini Kiuhalisia sio kwamba hupumui bali huo mchakato unafanyika kupitia matundu mengine ya mwili kama vinyeleo nk, ila inahitaji mazoezi ya muda mrefu sana
Wale wenye uzoefu na hii kitu hupenda kuwashangaza watu kwa kuomba wazikwe kwa masaa kadha huku mkono tu ama mguu tu ukiachwa nje ya jeneza na kisha kaburi
Ni mchakato wa kutisha na kuogofya sana kwakuwa Kama akishindwa manake mna kesi ya kuua bila kukusudia..
Baada ya masaa husika kupita yenye mashaka mengi hatimaye mnamfukua na kumkuta hai bukheri wa afya
Unaposikia ku develop supernatural powers ndio huku uwezo wa kupumua bila kutumia pua wala mdomo
Meditation nyingine inayofanana na hiyo ni ile ya kuwekwa kwenye jeneza na kuachwa pekeyako kwenye chumba cha giza, kama mjuavyo jeneza ni nyumba ya mfu kwahiyo tayari linakuwa na ile roho ya umauti, na hata wewe mwenyewe kihisia utahisi uko kwenye ulimwengu mwingine kabisa
Kuna baadhi waliojaribu hii aina ya pili walishindwa na kupiga kelele huku wakidai kuwa ile hali ya kufungiwa kwenye jeneza ndani ya chumba cha giza totoro na ukimya vimewakutanisha na wafu
All in all hii ni perception tu inakuletea uhalisia wa kile unachowaza, lengo la meditation hii ni kwenda kinyume na perception ya mazingira uliyopo......!!!!
Wengi wao ni waongo tu..wana copy na ku pest..halafu wanaremba kidogo!Amaa kwel wachaw weng siku hz ,mwingine nimemkuta anafunza watu astral protection(kutoka nje ya mwili)
Mwenyezi Mungu atunusuru
Haya masuala ya mtu kulala kwenye jeneza gizani, sijui kuomba azikwe duh,,, siyawezi kabisa ni kutishana tu