beautifullylikehermom
Senior Member
- Jun 17, 2019
- 128
- 153
Ila kwenye mapenzi huwa tunatishana hivi kweli?
Ila kwenye mapenzi inawezekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kwenye mapenzi huwa tunatishana hivi kweli?
Ila kwenye mapenzi inawezekana
Mchawi tu huyo. Mambo ya kuzimu hakuna kumediteti wala nini.Sasa Mshana mimi huwa sikuelewi kwakweli.Hayo unayosema yanafaida gani kwa sisi watanzania.Labda kama tukimeditate tunagundua njia za kuinua uchumi hapo tutakuwa pamoja.Au unatufundisha namna ya kuachana na mwili?
Napokea kwa unyenyekevu mkuu wanguWewe ni great thinker, ila hujawahi kutamba. Excellent! Keep it up.
Sent using Jamii Forums mobile app