patrick kalonga
Member
- Jul 26, 2016
- 25
- 8
Wanajukwaa please kwa heshima na tahadhima naomba kujua kati ya kozi tajwa hapo juu ni ipi nzuri kusoma kwa sasa kwa uzoefu na ujuaji wenu
Asanteeeni nyote
Asanteeeni nyote
Ukishajua iwe vipi?????
Hebu Tulia Usome Dogo Acha Uvivu na Kushauka Na Maneno Ya Vijiweni Hakuna Kozi bora usipokuwa bora wewe mwenyewe....