Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,032
- 12,585
Nafahamu kwamba swala LA afya sio issue ya Muungano, ila lwanini sisi Wazanzibar tuliokuwa hatuna leseni za MCT mmefunga mfumo wenu wa usajili?
Mnajua kabisa usipokuwa na l
Leseni ya MCT huwezi kuomba hizi ajira mpya sasa kwanini msitufungulie tuombe?
MCT acheni hujuma, hizo ajira kila MTU ana haki ya kuomba tufungulieni system tuimbe leseni
Mnajua kabisa usipokuwa na l
Leseni ya MCT huwezi kuomba hizi ajira mpya sasa kwanini msitufungulie tuombe?
MCT acheni hujuma, hizo ajira kila MTU ana haki ya kuomba tufungulieni system tuimbe leseni