Media zetu zote hazina taarifa ya mjadala wa bajeti toka Bunge lianze. Aidha watu wamelichoka Bunge au limekosa hoja za kushika masikio ya wananchi

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Miaka ya nyuma Bunge la bajeti lilikuwa moja ya vikao vikubwa vya kibunge ambavyo vilitoa mwanga na dira ya Taifa linapokwenda. Media zote macho yalitupwa bungeni na wabunge mahiri wote ndio ilikuwa kipindi chao.

Mwaka huu asilimia kubwa ya watu ukiwauliza tu ni wizara ngapi Hadi Sasa zimeshawasilisha bajeti hawajui.

Lakini kikubwa Ni pale hata TBC inapolipa bunge kipaomwisho na kuripoti habari za bunge wanavyojisikia au wakati ambao viongozi wa serikali hawatumii masafa.

Kwanini bunge limeshuka hadhi kwa kasi hivi?
 
Hakuna kipindi bunge limeshuka hadhi kama kipindi hiki!Nakumbuka miaka ya nyuma haikuwa hivi!
 
Miaka ya nyuma Bunge la bajeti lilikuwa moja ya vikao vikubwa vya kibunge ambavyo vilitoa mwanga na dira ya Taifa linapokwenda. Media zote macho yalitupwa bungeni na wabunge mahiri wote ndio ilikuwa kipindi chao.

Mwaka huu asilimia kubwa ya watu ukiwauliza tu ni wizara ngapi Hadi Sasa zimeshawasilisha bajeti hawajui.

Lakini kikubwa Ni pale hata TBC inapolipa bunge kipaomwisho na kuripoti habari za bunge wanavyojisikia au wakati ambao viongozi wa serikali hawatumii masafa.

Kwanini bunge limeshuka hadhi kwa kasi hivi?
Naona una hamu ya kwenda gulioni Katerero. Ila jamaa ulionao hawapajui.
 
Miaka ya nyuma Bunge la bajeti lilikuwa moja ya vikao vikubwa vya kibunge ambavyo vilitoa mwanga na dira ya Taifa linapokwenda. Media zote macho yalitupwa bungeni na wabunge mahiri wote ndio ilikuwa kipindi chao.

Mwaka huu asilimia kubwa ya watu ukiwauliza tu ni wizara ngapi Hadi Sasa zimeshawasilisha bajeti hawajui.

Lakini kikubwa Ni pale hata TBC inapolipa bunge kipaomwisho na kuripoti habari za bunge wanavyojisikia au wakati ambao viongozi wa serikali hawatumii masafa.

Kwanini bunge limeshuka hadhi kwa kasi hivi?
Kwa sasa muhimili unapewa kipaumbele ni serikali kuu tu.

Hao wengine wanaonekana wapo tu kutimiza wajibu ila hawapewi thamani yoyote wala wenyewe hawajitambui ndio maana unakuta li mtu kama Mwigulu likisimama bungeni linaongea mashudu tu ili kumfurahisha Magufuli
 
Miaka ya nyuma Bunge la bajeti lilikuwa moja ya vikao vikubwa vya kibunge ambavyo vilitoa mwanga na dira ya Taifa linapokwenda. Media zote macho yalitupwa bungeni na wabunge mahiri wote ndio ilikuwa kipindi chao.

Mwaka huu asilimia kubwa ya watu ukiwauliza tu ni wizara ngapi Hadi Sasa zimeshawasilisha bajeti hawajui.

Lakini kikubwa Ni pale hata TBC inapolipa bunge kipaomwisho na kuripoti habari za bunge wanavyojisikia au wakati ambao viongozi wa serikali hawatumii masafa.

Kwanini bunge limeshuka hadhi kwa kasi hivi?
Mkuu watu wenye akili nchi hii mfano Mtemi Andrew Chenge alisimama na kuwaambia ccm wenzake kwamba wanachofanya mle Bungeni ni upuuzi tu.Mle hamna budget.
 
Nakumbuka enzi hizo tunafuatilia bunge kusikiliza points za lisu, yaani kuna bar zilikuwa zinajaza wateja kwa kuonyesha bunge.
Nakumbuka kuna siku nimekatiza mitaa flani nikakuta bonge la nyomi bar nikafikiria watu wanaangalia mpira kujisogeza nikakuta wanaangalia bunge.
Hili bunge la Sasa Ni kama hakuna bunge
 
Miaka ya nyuma Bunge la bajeti lilikuwa moja ya vikao vikubwa vya kibunge ambavyo vilitoa mwanga na dira ya Taifa linapokwenda. Media zote macho yalitupwa bungeni na wabunge mahiri wote ndio ilikuwa kipindi chao.

Mwaka huu asilimia kubwa ya watu ukiwauliza tu ni wizara ngapi Hadi Sasa zimeshawasilisha bajeti hawajui.

Lakini kikubwa Ni pale hata TBC inapolipa bunge kipaomwisho na kuripoti habari za bunge wanavyojisikia au wakati ambao viongozi wa serikali hawatumii masafa.

Kwanini bunge limeshuka hadhi kwa kasi hivi?
Siku hizi wanafanya vikao kama vya kichawi,wanapenda kujificha gizani na hawajali wanayoyajadili yakiwafikieni au la.Bora posho zao zisikosekane/kupungua viwango.Bajeti yenyewe haitekelezeki/haitekelezwi na hakuna wa kuhoji.
Bunge ni enzi ya waheshimiwa Sitta,Makinda na Chief Adam Mkwawa.
 
Kwa sasa muhimili unapewa kipaumbele ni serikali kuu tu.

Hao wengine wanaonekana wapo tu kutimiza wajibu ila hawapewi thamani yoyote wala wenyewe hawajitambui ndio maana unakuta li mtu kama Mwigulu likisimama bungeni linaongea mashudu tu ili kumfurahisha Magufuli
Kwani bunge sio serikali? Hali ya ugonjwa umesababisha liende kidijidali zaidi. Ila tambua hii ni serikali moja ila kuna mgawanyo wa madaraka.
 
Back
Top Bottom