Media za Tanzania ziepuke kufungiwa

Sambusa kavu

JF-Expert Member
May 4, 2015
797
1,264
Tulianza kuona Clouds Media group wakifungiwa kwa muda wa siku 7...hawa walijichanganya kwenye ishu za kisiasa

Jana tumeona ndugu zao tena Wasafi media wamekula ban ya siku 7 hawa ndo labda walitakiwa wafungiwe mwezi mzima kabisa ili iwe fundisho maana sio kwa matusi yale waliokuwa wakiongea hewani.

Ni ukweli usiopingika, media zote za Tanzania kwa sasa zimeacha kutoa ajira kwa professional journalism na kuanza kuajiri watu wa ajabu ajabu tu, kisa tu mtu ni maarufu au ni mpiga domo basi anapata ajira....hayo ndo matokeo yake sasa

Eti leo hii namsikiliza Mwijaku?!
Eti leo hii namsikiliza Juma lokole?!
Eti leo hii namsikiliza Stive Nyerere?!
Eti leo hii namsikiliza Babalevo?!

TCRA big up sana , fungieni hao mpaka akili ziwakae sawa.
 
Tatizo fani ya utangazaji imevamiwa ,vipaji vya utangazaji wanavyo,ila hawajui ethics zinazo iongoza hiyo kazi.

Yaani EFM,Wasafi na Clouds kila siku watakuwa wanafungiwa,sababu wamejaza waropokaji wengi,wasipo wazibiti watawatia matatizoni kila siku.
 
Tulianza kuona Clouds Media group wakifungiwa kwa muda wa siku 7...hawa walijichanganya kwenye ishu za kisiasa

Jana tumeona ndugu zao tena Wasafi media wamekula ban ya siku 7..hawa ndo labda walitakiwa wafungiwe mwezi mzima kabisa ili iwe fundisho maana sio kwa matusi yale waliokuwa wakiongea hewani.

Ni ukweli usiopingika,media zote za Tanzania kwasasa zimeacha kutoa ajira kwa professional journalism nakuanza kuajiri watu wa ajabu ajabu tu, kisa tu mtu ni maharufu au ni mpiga domo basi anapata ajira....hayo ndo matokeo yake sasa

Eti leo hii namsikiliza Mwijaku?!
Eti leo hii namsikiliza Juma lokole?!
Eti leo hii namsikiliza Stive Nyerere?!
Eti leo hii namsikiliza Babalevo?!

TCRA big up sana , fungieni hao mpaka akili ziwakae sawa.
Eti ajira kwa professional journalism?
 
Tatizo fani ya utangazaji imevamiwa ,vipaji vya utangazaji wanavyo,ila hawajui ethics zinazo iongoza hiyo kazi.

Yaani EFM,Wasafi na Clouds kila siku watakuwa wanafungiwa,sababu wamejaza waropokaji wengi,wasipo wazibiti watawatia matatizoni kila siku.
Tatizo ni watu walioajiriwa na ubunifu hafifu kiasi kwamba media hazitengenezi trend tena bali zinafuata trend za instagrams ambazo nyingi ndo hizo za matusi na uchambaji

Kingine ethics ni ethics, sihitaji elimu ya darasani kujua kama hiki nachoongea ni matusi au si matusi kwa hiyo suala la kusomea ili mtu ajue ethics za kuzungumzia entertainment sijawahi kulielewa.

Mtu kama Vanessa mdee aliajiriwa MTV bila kuwa hata na elimu ya uandishi wa habari lakini alokuwa na character nzuri na ikatosha. Hiyo elimu ya darasani wasomee wale wanaotangaza hard news na inatosha. Huku kwingine si lazma
 
Tatizo ni watu walioajiriwa na ubunifu hafifu kiasi kwamba media hazitengenezi trend tena bali zinafuata trend za instagrams ambazo nyingi ndo hizo za matusi na uchambaji

Kingine ethics ni ethics, sihitaji elimu ya darasani kujua kama hiki nachoongea ni matusi au si matusi kwa hiyo suala la kusomea ili mtu ajue ethics za kuzungumzia entertainment sijawahi kulielewa.

Mtu kama Vanessa mdee aliajiriwa MTV bila kuwa hata na elimu ya uandishi wa habari lakini alokuwa na character nzuri na ikatosha. Hiyo elimu ya darasani wasomee wale wanaotangaza hard news na inatosha. Huku kwingine si lazma
Wenzetu huwaga wana wapiga brush hata ya miezi mitatu ya kuwa elekeza jinsi kazi inavyo fanyika na miiko yake.

Sizani hapa bongo kama wanafanya.
 
Samahani ndugu wajumbe..hivi Steve nyenyere anatangaza redio gani?
 
Wenzetu huwaga wana wapiga brush hata ya miezi mitatu ya kuwa elekeza jinsi kazi inavyo fanyika na miiko yake.

Sizani hapa bongo kama wanafanya.
trainings muhimu kwenye kazi yoyote ila kwa bongo unakuta mtu kaajiriwa kwa kutukana au kuropoka instagram, sasa brother mtu kama huyu akiajiriwa si tunajua kaaajiriwa kwa ajili ya nini

afanyiwe training ya kutukana au kuropoka kistaarabu ama !!!..

Media za bongo zina tabu sana
 
Me nadhani wangekuwa wanatazama na background ya mtu anapotoka. Waache kuwaingiza watu wenye haiba za uswahilini kwenye media, wanatuharibia our young generation.

Kuna hawa watu huwa sipendi kuwasikia katika media hata kidogo, Gea, swebe, steve nyerere, yule dogo kipindi cha clouds 360 aliyeteuliwa juzi sijui nani nani ngoma, kingwendu, zembwela, Dida, juma lokole, yule kijana anaitwa sijui dr. Nani sijui anaongea kama choko fulani hivi yupo Efm kwasasa.

Hawa jamaa hata ukitazamana maudhui yao katika vipindi ni ya kulocal na kiswahili sana. Media ni sehemu ambapo tunatema madini ya kisasa na kuishape jamii kutokana na yale tunayoyaripoti ila si sahihi kutumia media kuweka mijadala isiyo na mbele wala nyuma na kuweka Program presenters wa ajabu ajabu.
 
Tulianza kuona Clouds Media group wakifungiwa kwa muda wa siku 7...hawa walijichanganya kwenye ishu za kisiasa

Jana tumeona ndugu zao tena Wasafi media wamekula ban ya siku 7..hawa ndo labda walitakiwa wafungiwe mwezi mzima kabisa ili iwe fundisho maana sio kwa matusi yale waliokuwa wakiongea hewani.

Ni ukweli usiopingika,media zote za Tanzania kwasasa zimeacha kutoa ajira kwa professional journalism nakuanza kuajiri watu wa ajabu ajabu tu, kisa tu mtu ni maharufu au ni mpiga domo basi anapata ajira....hayo ndo matokeo yake sasa

Eti leo hii namsikiliza Mwijaku?!
Eti leo hii namsikiliza Juma lokole?!
Eti leo hii namsikiliza Stive Nyerere?!
Eti leo hii namsikiliza Babalevo?!

Yaani ni hovyo kabisa......huyo babalevo atawacost......mjitu unaropoka hovyo hovyo haijali ni nani na nani wanasikiliza.....wanadhani watu wote wanasikilizia redio kwenye vilabu vya gongo......
Huwezi kukuta huu urojo radio one hata siku moja.......
 
Me nadhani wangekuwa wanatazama na background ya mtu anapotoka. Waache kuwaingiza watu wenye haiba za uswahilini kwenye media, wanatuharibia our young generation.

Kuna hawa watu huwa sipendi kuwasikia katika media hata kidogo, Gea, swebe, steve nyerere, yule dogo kipindi cha clouds 360 aliyeteuliwa juzi sijui nani nani ngoma, kingwendu, zembwela, Dida, juma lokole, yule kijana anaitwa sijui dr. Nani sijui anaongea kama choko fulani hivi yupo Efm kwasasa.

Hawa jamaa hata ukitazamana maudhui yao katika vipindi ni ya kulocal na kiswahili sana. Media ni sehemu ambapo tunatema madini ya kisasa na kuishape jamii kutokana na yale tunayoyaripoti ila si sahihi kutumia media kuweka mijadala isiyo na mbele wala nyuma na kuweka Program presenters wa ajabu ajabu.
Kula gwara buddah,,umeongea nilichotaka kuki'comment kabisa,,yaani media zinachukua watu wasio na shule,Mwijaku,Kingwendu,Babalevo sijui Juma nani wamesomea wapi wakajifunza Journalism ethics?Bora ata Jose Mara hajasoma ila hana ujinga
 
Me nadhani wangekuwa wanatazama na background ya mtu anapotoka. Waache kuwaingiza watu wenye haiba za uswahilini kwenye media, wanatuharibia our young generation.

Kuna hawa watu huwa sipendi kuwasikia katika media hata kidogo, Gea, swebe, steve nyerere, yule dogo kipindi cha clouds 360 aliyeteuliwa juzi sijui nani nani ngoma, kingwendu, zembwela, Dida, juma lokole, yule kijana anaitwa sijui dr. Nani sijui anaongea kama choko fulani hivi yupo Efm kwasasa.

Hawa jamaa hata ukitazamana maudhui yao katika vipindi ni ya kulocal na kiswahili sana. Media ni sehemu ambapo tunatema madini ya kisasa na kuishape jamii kutokana na yale tunayoyaripoti ila si sahihi kutumia media kuweka mijadala isiyo na mbele wala nyuma na kuweka Program presenters wa ajabu ajabu.
Wengine ni criminals kama Baba Levo halafu wanapewa ajira
 
Back
Top Bottom