Media za Tanzania vigeugeu, wanahitimisha mapema mambo mapema..

mzozaji

JF-Expert Member
Jul 28, 2010
255
13
Wadau nadhani mmeona jinsi waandishi wa habari za Tanzania walivyo vigeugeu, siku ya kwanza ya uchaguzi walikuwa wanaripoti kuwa kuna mwamko mkubwa sana na watu wamejitokeza kwa wingi sana kupiga kura na mpaka wagonjwa wamekwenda kupiga kura. Matokeo yake baadae imejulikana kuwa waliopiga ni asilimia 42% tuu ya waliojiandikisha! Je hawa ni vilaza wa kukurupukia mambo bila utafiti.? Ona akina Masako wa ITV walivyokuwa wakiripoti kana kwamba kila mtu alipiga kura. Halafu pia raisi walisema watoto ndio wengi zaidi Tanzania, sasa hiyo milioni 20 waliojiandikisha ilitoka wapi?
 
Watu wengi wa media nlishawataja kuwa ni VILAZA, waliofeli kuingia vyuo vikuu wakati ule. Wengi ni division sifuri au 4 form four au form 6. Upeo wao ni mdogo sana NDIO SABABU WAPO SO WHIMSICAL and NAIVE. TUSITEGEMEE media ya Tanzania ikawa na msimamo hata siku moja.They are never creative but wind driven. Umbea ni mwingi kuliko utafiti wa habari. Labda tusubiri hawa wataograduate maika hii.Wengi walio above 30 years NI WAGANGA NJAA TU NEVER ETHICAL.
 
Media ina watu kama akina Ephraim Kibonde, unategemea chochote hapo, we wapotezee tu. With janga kubwa kama la G.mboto hakuna media hata moja ilirudia kauli zao wakati wa mbagala ili tuzitumie kuwashinikiza wajiuzulu...
 
Back
Top Bottom