Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
Jamani, hivi nikisema kuwa media za tz zimepigwa stop kuwaonyeshaonyesha sana wana chadema nitakuwa nimekosea? kama sijakosea naombeni wahusika watoe maelezo ya kutosha hapa. Kwasababu inavyoonekana hali halisi ni kama media zetu zimenunuliwa na selikali kabisa, selikali ndiyo inayowaambia nini cha kuongea na nini si cha kuongea...pamoja na kwamba zingine ni private owned.
Nikianzia mtu mmoja aliongea jana kuwa, wakati dr.slaa ametangaza kuwa hatamtambua rais baada tu ya uchaguzi, hakuna chombo chochote kiliamka kwenda kwa slaa kumwuliza kuwa matokeo yameshatangazwa wewe unasemaje, unachukua msimamo gani etc, kwasababu waliogopa kuwa kile atakachoongea slaa baada ya matokeo kitaleta fujo, so wakawapiga stop.
pili, wanachadema walipotoka nje ya bunge, ni mbunge gani alihojiwa siku ile, hasa kiongozi wa upinzani na dr.slaa ambaye ni katibu wa chama ili kutoa msimamo wa chadema...kwasababu wengi kusema ukweli tulikuwa tunahitaji kusikia toka wa wabunge wetu nini wamefanya kwa kutoka nje ya bunge na nini kinaendelea na kwanini? lakini media zime mute zote hawataki kuwaonyesha....
Kuna mambo mengi sana, si cha star tv, itv, tbc, channel ten wala nini, zoote zimebaki kimyaaa, kitu ambacho kinaonyesha kama zimepigwa stop na selikali. kwanini media zetu hazina uhuru? au haziko impartial? tunaelekea wapi?
kwa namna hii, utakuwa mambo yote tunayoletea kwenye luninga yanakuwa ya kutu brainwash tu, propaganda za kutupiga upofu wa akili tusione mabaya ya selikali, tusikosoe selikali etc. UKITAKA KUAMIN HILI, ANGALIA TV ZA NJE AFU LINGANISHA NA ZA KWETU. utakuta za kwetu zinaboa kwasababu mtu mmoja anakua anapandikia chochote anachokitaka au kukiamini kwa interest zake binafsi kwa wananchi na si hali halisi...tutafika wapi hivi jamani,
ndo maana waandishi wa habari wa kenya walikuja vyema sana kipindi kile wakawa wanakubalika sana, na selikali ikawatimua kwasababu walikuwa wanaendesha mambo kiprofessional kuliko hawa waandishi wetu wa habari waliohitimu certificate pale BUGURUNI.
Nikianzia mtu mmoja aliongea jana kuwa, wakati dr.slaa ametangaza kuwa hatamtambua rais baada tu ya uchaguzi, hakuna chombo chochote kiliamka kwenda kwa slaa kumwuliza kuwa matokeo yameshatangazwa wewe unasemaje, unachukua msimamo gani etc, kwasababu waliogopa kuwa kile atakachoongea slaa baada ya matokeo kitaleta fujo, so wakawapiga stop.
pili, wanachadema walipotoka nje ya bunge, ni mbunge gani alihojiwa siku ile, hasa kiongozi wa upinzani na dr.slaa ambaye ni katibu wa chama ili kutoa msimamo wa chadema...kwasababu wengi kusema ukweli tulikuwa tunahitaji kusikia toka wa wabunge wetu nini wamefanya kwa kutoka nje ya bunge na nini kinaendelea na kwanini? lakini media zime mute zote hawataki kuwaonyesha....
Kuna mambo mengi sana, si cha star tv, itv, tbc, channel ten wala nini, zoote zimebaki kimyaaa, kitu ambacho kinaonyesha kama zimepigwa stop na selikali. kwanini media zetu hazina uhuru? au haziko impartial? tunaelekea wapi?
kwa namna hii, utakuwa mambo yote tunayoletea kwenye luninga yanakuwa ya kutu brainwash tu, propaganda za kutupiga upofu wa akili tusione mabaya ya selikali, tusikosoe selikali etc. UKITAKA KUAMIN HILI, ANGALIA TV ZA NJE AFU LINGANISHA NA ZA KWETU. utakuta za kwetu zinaboa kwasababu mtu mmoja anakua anapandikia chochote anachokitaka au kukiamini kwa interest zake binafsi kwa wananchi na si hali halisi...tutafika wapi hivi jamani,
ndo maana waandishi wa habari wa kenya walikuja vyema sana kipindi kile wakawa wanakubalika sana, na selikali ikawatimua kwasababu walikuwa wanaendesha mambo kiprofessional kuliko hawa waandishi wetu wa habari waliohitimu certificate pale BUGURUNI.