Nimejaribu kufuatilia habari mbalimbali zinazotoka katika vyombo mbali mbali vya habari (Media) hapa nchini hasa katika kipindi hiki cha Msiba wa Mkapa.
Jambo la kusikitisha ambalo mimi binafsi nimegundua ni kwamba bado wapo mbali saana (nyuma) katika weredi wa jinsi gani ya kuandaa taarifa kutokana matukio (hakuna ubunifu kabisa) na mbaya zaidi uwezo mdogo wa kuelewa ni kipi kinatakiwa kitolewe kwa wananchi na wakati gani.
Kuharibu zaidi wote wamejikita katika "copy and paste" yaani kwa ufupi kwa wiki hii yoote ukifungua redio karibia zote na au hata magazeti (Haya ndio tena yameathirika zaidi) utakuta habari ni ile ile ikitangazwa kwa "style" ile ile moja na hakuna ubunifu hata kidogo tofauti na pale unaposikiliza vyombo vya habari vya Nje kama DW au Sauti ya Ujerumani.
Tisa, kumi leo ndio wamelikoroga zaidi nimejaribu kutathimini ni jinsi gani kama wataweza kubalance matukio mawili yanayolikumbuka nchii kwa sasa yaani msiba wa Mkapa na Ujio na mapokezi ya Tundu Lissu. Ni aibu saana aisee.
Jambo la kusikitisha ambalo mimi binafsi nimegundua ni kwamba bado wapo mbali saana (nyuma) katika weredi wa jinsi gani ya kuandaa taarifa kutokana matukio (hakuna ubunifu kabisa) na mbaya zaidi uwezo mdogo wa kuelewa ni kipi kinatakiwa kitolewe kwa wananchi na wakati gani.
Kuharibu zaidi wote wamejikita katika "copy and paste" yaani kwa ufupi kwa wiki hii yoote ukifungua redio karibia zote na au hata magazeti (Haya ndio tena yameathirika zaidi) utakuta habari ni ile ile ikitangazwa kwa "style" ile ile moja na hakuna ubunifu hata kidogo tofauti na pale unaposikiliza vyombo vya habari vya Nje kama DW au Sauti ya Ujerumani.
Tisa, kumi leo ndio wamelikoroga zaidi nimejaribu kutathimini ni jinsi gani kama wataweza kubalance matukio mawili yanayolikumbuka nchii kwa sasa yaani msiba wa Mkapa na Ujio na mapokezi ya Tundu Lissu. Ni aibu saana aisee.