Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Nenda wewe,kwani huna miguuKama ushahidi unao nende mahakamani peleka
Nenda wewe,kwani huna miguuKama ushahidi unao nende mahakamani peleka
Umehakikiwa lakini?Mkuu Waberoya, wako wengi tuu, sio busara kuwataja kama una access na mtandao wa NECTA, fuatilia mwandishi huyu mwenye Index No. S. 347/120 alisoma O-Level Tambaza akatoka na Div 1 kali, akaenda A-Level Ilboru kwa Index No. S. 110/539 pia akatoka na Div 1, akaenda TSJ akatoka na Diploma in Journalism No 0000670 yenye 1st class na baadaye akajinga UDSM kusomea sheria LL.B na kutoka na Upper 2nd!.
NB. Journalism is a noble profession, umahiri wa mwandishi kuwa mwandishi/ mtangazaji mzuri ni kipaji binafsi cha mwandishi husika na sio vyeti. Kipindi chote cha Nyerere, na Mwinyi, kusomea journalism ilikuwa mwisho ni Diploma tuu, degree zilitolewa kwa waliosoma nje ya nchi enzi hizo USSR, walirudi na Masters, lakini wengi kwenye performance walikuwa hakuna kitu!.
Wakati the best in the industry wengi wao ni shule za kuunga unga na elimu za hapa na pale!. Hata Ben Mkapa, Prof. Palamagamba Kabudi, Dr. Sengodo Mvungi, Dr. Harrison Mwakyembe, Dr. Aggrey Mlimuka, wote walikuwa ni waandishi wa habari.
Paskali
Angalua TBC asubuhiAnza kuzungumzia Bunge live ndipo uje kwa bashite
Angalua TBC asubuhi
Dr. Harrison Mwakyembe,
Mimi sihitaji kuhakikiwa kwa sababu mimi sio mtumishi wa umma na elimu yangu ni daasa la saba la UPEUmehakikiwa lakini?
Mzee wa KKMimi sihitaji kuhakikiwa kwa sababu mimi sio mtumishi wa umma na elimu yangu ni daasa la saba la UPE
P.
Naunga mkono hojaJF wanafanya vizuri kufuata maazimio ya wahariri Tanzania kwa kuwa wao ni chombo cha habari huyu MTU ni adui wa tasnia ya habari acha atumikie adhabu yake ili iwe fundisho kwa wengine wenye madaraka ya kulevya
Umekivaa mbatizaji? Endelea kupiga mbiziKiatu kipya kinakanyagwa hatareee!