Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 690
Wadau
naomba kujua hivi ni chombo gani cha habari hapo kesho kitakachorusha live bila chenga uchaguzi wa igunga,kuanzia upigaji kura na matokeo bila upendeleo.
nasikia kule kuna utitiri wa waandishi wa habari mpaka wa social media wapo
hivi JF imewakilishwa na nani
napendekeza JF adm wahakikishe tunatumia post moja kupata kinachoendelea na matokeo ambayo hawajawa verified wayaminye kwanza
Nawasilisha
naomba kujua hivi ni chombo gani cha habari hapo kesho kitakachorusha live bila chenga uchaguzi wa igunga,kuanzia upigaji kura na matokeo bila upendeleo.
nasikia kule kuna utitiri wa waandishi wa habari mpaka wa social media wapo
hivi JF imewakilishwa na nani
napendekeza JF adm wahakikishe tunatumia post moja kupata kinachoendelea na matokeo ambayo hawajawa verified wayaminye kwanza
Nawasilisha