Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,700
- 45,026
Mbunge wa Chato, Mh Medard Kalemani ndio mbunge pekee katika awamu ya tano kuwa na kasi kubwa ya maendeleo jimboni kwake kuliko Mbunge mwingine yoyote.
Ni takribani miaka miwili toka achaguliwe kuwa Mbunge wa jimbo hilo, na tayari ndani ya miaka miwili hiyo ameweza kujenga;
Uwanja wa ndege wa Kimataifa
Jengo la TRA
Duka la dawa la MSD
na sasa anaenda kujenga Hospitalibya Rufaa jimboni kwake.
Tunampongeza kwa kasi yake nzuri ya maendeleo, wabunge wengine muige!
Hakika Chato sasa imeamka baada ya kusahauliwa kwa kipindi kirefu!
Hongera Mh. Kalemani!
Ni takribani miaka miwili toka achaguliwe kuwa Mbunge wa jimbo hilo, na tayari ndani ya miaka miwili hiyo ameweza kujenga;
Uwanja wa ndege wa Kimataifa
Jengo la TRA
Duka la dawa la MSD
na sasa anaenda kujenga Hospitalibya Rufaa jimboni kwake.
Tunampongeza kwa kasi yake nzuri ya maendeleo, wabunge wengine muige!
Hakika Chato sasa imeamka baada ya kusahauliwa kwa kipindi kirefu!
Hongera Mh. Kalemani!