Tumia akili kubwa kunielewa mkuuUsidanganye watu mpuuzi wewe, barabara ya kikumbaitare tu imemshinda tangu awe mbunge, amewatekeza akin mzee Papasi mpaka leo wameishia kua waganga wa kienyeji.
Teh teh teh JF sihami ng'oooTuliyenae sasa hivi ni rais wa Tz na wakati huo huo ni mbunge wa Chato huyo kaleman ni kivuli tu mbele hachezi nyuma hatingishiki
Chato ndiyo jumbo pekee duniani lenye wabunge wawili.Mbunge wa Chato, Mh Medard Kalemani ndio mbunge pekee katika awamu ya tano kuwa na kasi kubwa ya maendeleo jimboni kwake kuliko Mbunge mwingine yoyote.
Ni takribani miaka miwili toka achaguliwe kuwa Mbunge wa jimbo hilo, na tayari ndani ya miaka miwili hiyo ameweza kujenga;
Uwanja wa ndege wa Kimataifa
Jengo la TRA
Duka la dawa la MSD
na sasa anaenda kujenga Hospitalibya Rufaa jimboni kwake.
Tunampongeza kwa kasi yake nzuri ya maendeleo, wabunge wengine muige!
Hakika Chato sasa imeamka baada ya kusahauliwa kwa kipindi kirefu!
Hongera Mh. Kalemani!
HahahaTuliyenae sasa hivi ni rais wa Tz na wakati huo huo ni mbunge wa Chato huyo kaleman ni kivuli tu mbele hachezi nyuma hatingishiki
Anayo sifa nyingine ya kuhusika kung'oa camera za CCTV kwenye eneo aliloshambuliwa Lissu ili kuokoa jahaziMbunge wa Chato, Mh Medard Kalemani ndio mbunge pekee katika awamu ya tano kuwa na kasi kubwa ya maendeleo jimboni kwake kuliko Mbunge mwingine yoyote.
Ni takribani miaka miwili toka achaguliwe kuwa Mbunge wa jimbo hilo, na tayari ndani ya miaka miwili hiyo ameweza kujenga;
Uwanja wa ndege wa Kimataifa
Jengo la TRA
Duka la dawa la MSD
na sasa anaenda kujenga Hospitalibya Rufaa jimboni kwake.
Tunampongeza kwa kasi yake nzuri ya maendeleo, wabunge wengine muige!
Hakika Chato sasa imeamka baada ya kusahauliwa kwa kipindi kirefu!
Hongera Mh. Kalemani!
Ila umeme kikumbaitale umeenda bwana.Usidanganye watu mpuuzi wewe, barabara ya kikumbaitare tu imemshinda tangu awe mbunge, amewatekeza akin mzee Papasi mpaka leo wameishia kua waganga wa kienyeji.
Mbona povu mkuu, unatakiwe uwe umekula kwanza ili ubongo wako uweze kujua nimeandika kitu gani.Usidanganye watu mpuuzi wewe, barabara ya kikumbaitare tu imemshinda tangu awe mbunge, amewatekeza akin mzee Papasi mpaka leo wameishia kua waganga wa kienyeji.
Wana akili za wana lumumba hao hawawezi kukuelewa mpaka uwatafunie,ni wachache ndio tumekuelewa.Mbona povu mkuu, unatakiwe uwe umekula kwanza ili ubongo wako uweze kujua nimeandika kitu gani.
Kuna mtu atakuja kubisha!Mbunge wa Chato, Mh Medard Kalemani ndio mbunge pekee katika awamu ya tano kuwa na kasi kubwa ya maendeleo jimboni kwake kuliko Mbunge mwingine yoyote.
Ni takribani miaka miwili toka achaguliwe kuwa Mbunge wa jimbo hilo, na tayari ndani ya miaka miwili hiyo ameweza kujenga;
Uwanja wa ndege wa Kimataifa
Jengo la TRA
Duka la dawa la MSD
na sasa anaenda kujenga Hospitalibya Rufaa jimboni kwake.
Tunampongeza kwa kasi yake nzuri ya maendeleo, wabunge wengine muige!
Hakika Chato sasa imeamka baada ya kusahauliwa kwa kipindi kirefu!
Hongera Mh. Kalemani!
Tuliyenae sasa hivi ni rais wa Tz na wakati huo huo ni mbunge wa Chato huyo kaleman ni kivuli tu mbele hachezi nyuma hatingishiki
Umesahau...Mbunge wa Chato, Mh Medard Kalemani ndio mbunge pekee katika awamu ya tano kuwa na kasi kubwa ya maendeleo jimboni kwake kuliko Mbunge mwingine yoyote.
Ni takribani miaka miwili toka achaguliwe kuwa Mbunge wa jimbo hilo, na tayari ndani ya miaka miwili hiyo ameweza kujenga;
Uwanja wa ndege wa Kimataifa
Jengo la TRA
Duka la dawa la MSD
na sasa anaenda kujenga Hospitalibya Rufaa jimboni kwake.
Tunampongeza kwa kasi yake nzuri ya maendeleo, wabunge wengine muige!
Hakika Chato sasa imeamka baada ya kusahauliwa kwa kipindi kirefu!
Hongera Mh. Kalemani!
Qwihaya ni lugha ya wapi hii? Tuambiane na ikibidi paka POMMY atupe nae zake. AlamsikiMbunge wa Chato, Mh Medard Kalemani ndio mbunge pekee katika awamu ya tano kuwa na kasi kubwa ya maendeleo jimboni kwake kuliko Mbunge mwingine yoyote.
Ni takribani miaka miwili toka achaguliwe kuwa Mbunge wa jimbo hilo, na tayari ndani ya miaka miwili hiyo ameweza kujenga;
Uwanja wa ndege wa Kimataifa
Jengo la TRA
Duka la dawa la MSD
na sasa anaenda kujenga Hospitalibya Rufaa jimboni kwake.
Tunampongeza kwa kasi yake nzuri ya maendeleo, wabunge wengine muige!
Hakika Chato sasa imeamka baada ya kusahauliwa kwa kipindi kirefu!
Hongera Mh. Kalemani!