Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,871
- 8,380
yanga wamekaza
Hii barua isijekuwa Fake....Kwani Wenyewe Yanga Wanasemaje....? Nakumbuka hapo nyuma kulikuwa na barua inasambaa mtandaoni kuhusu maandamano Ya Amani.....baadae Yanga wakaikana kuwa ni Fake.....!
Hii barua isijekuwa Fake....Kwani Wenyewe Yanga Wanasemaje....? Nakumbuka hapo nyuma kulikuwa na barua inasambaa mtandaoni kuhusu maandamano Ya Amani.....baadae Yanga wakaikana kuwa ni Fake.....!
Hii barua isijekuwa Fake....Kwani Wenyewe Yanga Wanasemaje....? Nakumbuka hapo nyuma kulikuwa na barua inasambaa mtandaoni kuhusu maandamano Ya Amani.....baadae Yanga wakaikana kuwa ni Fake.....!
Nimetoka kumuwazia sasa hivi muhabwa watuYanga mpeni yule muha wa Kigoma nauli arudi kwao hamjamtendea haki endapo mkigoma kucheza
Serikali haitakiwi iingilie mpira wa miguuTff nao watu wamewai tokea asubui wanawacheleweshaView attachment 1777440
Haya nayo yatapita tuNi kweli,lakini ndio ishakuwa ilivyokuwa