acha ubishi kijana...unakuwa ka vijana wa kutoka Kigoma.Nooo!!!
Saa 1 boss.Toa jibu
Yaani dogo una anzisha thread kwa ajili ya kuuliza muda wa kuanza mechi! Nonsense!Nina shauku Sana ya kwenda kuwaangalia Wajerumani wakiwa wanamfunga mtu!!
Hii mech Kali na muhim inaanza saa ngap wadau??
Ni uvivu tu wa kufuatilia vituYaani dogo una anzisha thread kwa ajili ya kuuliza muda wa kuanza mechi! Nonsense!
UsikaririNina shauku Sana ya kwenda kuwaangalia Wajerumani wakiwa wanamfunga mtu!!
Hii mech Kali na muhim inaanza saa ngap wadau??
Kijana download flashscore inakupa masaa ya Tanganyika aka EA na Unguja ikiwemo Unguja kwa mechi zote za soka duniani. Utakuja kunishuku siku moja.Nina shauku Sana ya kwenda kuwaangalia Wajerumani wakiwa wanamfunga mtu!!
Hii mech Kali na muhim inaanza saa ngap wadau??
Saa 16:00 mkuuNa wew ni sehem ya Google pia