Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,860
- 20,035
Tunisia pigaaaaaaaaaaa haoWarundi vpindi kama hivi ni rahsi sana kuwatambua !!
Tunisia pigaaaaaaaaaaa haoWarundi vpindi kama hivi ni rahsi sana kuwatambua !!
Na wachezaji wao ndio hawa kina bocco basi wajiandae tuMwanangu avatar yako wakiiona mikia wataumia sana
Na wakimaliza match hao waume zako uende naoTunisia pigaaaaaaaaaaa hao
Moja nyumbani na Libya ya pili ugenini na Equatorial GuineaMatch zilizobaki stars tupo away au nyumban??
Nadhani ya Libya ndo stars atacheza home ile ya kwanza na Eq Guinea stars alicheza home na akashinda 2-1,, then akapigwa kule LibyaMatch zilizobaki stars tupo away au nyumban??
Ngapi ngapi huko ?Nadhani ya Libya ndo stars atacheza home ile ya kwanza na Eq Guinea stars alicheza home na akashinda 2-1,, then akapigwa kule Libya
Bila kukusahau na wewe kwenye msafara wakakutawanye Hilo shekedi.Na wakimaliza match hao waume zako uende nao
pira la kuvutia kifupi hawa jamaa sio level yetuJamaa wanapiga pasi Hawa balaa
Katika hizo match mbili tukipata point 4 n nzur sana kwetuNadhani ya Libya ndo stars atacheza home ile ya kwanza na Eq Guinea stars alicheza home na akashinda 2-1,, then akapigwa kule Libya
Mkuu jamaa anavyoshabikia upande wa pili binafsi namuelewa sana, siku zote hatuwezi kutatua matatizo kwa kujidanganya kua hayapoNa wakimaliza match hao waume zako uende nao
Still 1-1Ngapi ngapi huko ?
Ni mapuuz ila bado hayajakufikia ,,sema upuuzi wako niwaviwango sanaBila kukusahau na wewe kwenye msafara wakakutawanye Hilo shekedi.
Piga hayo mapuuzi taifa Stars
FT 1-1Ngapi ngapi huko ?
Mazwazwa yalijazana kwa mkapa yakijua yatashindapira la kuvutia kifupi hawa jamaa sio level yetu