Kwan ngap ngap hko??Kipindi kile stars imefuzu sifa nyingi sana zilienda kwa mwenye nchi na ndugu wa kile chama chake wapo wariodiriki mpaka kusema ni juhudi za mwenye nchi hawakujua kama wana gawa watu.. Sasa hivi wanafungwa wasifiaji wote wapo kimya wanataka timu iwe ya Watanzania wote.
Anyway siku zote juhudi hua hazizidi uwezo, bado vipigo vitaendelea mpaka wenye mamlaka na mpira akili zitakapo wasogea.
1-1 mkuu , hapo nimeongelea overallKwan ngap ngap hko??
Sawa tunajitaji matokeo
Tumefungwa goli moja sawa kule Tunisia tumepoteza point tatu. Na leo pia tukifungwa tunapoteza point tatu pia wala hakuna maswala ya aggregate katia hatua ya makundi. Mambo ya aggregate yapo katika hatua za mitaoni ndio wanahesabia aggregate ya magoli badala ya point.Umesahau Tumefungwa 1 kule Tunisia
Dakika ya ngap1-1 mkuu , hapo nimeongelea overall
81Dakika ya ngap
Mwanangu avatar yako wakiiona mikia wataumia sanaHuyu msuva alikua awanyanyue wana ccm kwenye viti
Dah,, matokeo bado hayatupi nafasi kbsa ,,hii match muhimu kushinda
Mtapata nafasi ya viti maalumu Bungeni.Dah,, matokeo bado hayatupi nafasi kbsa ,,hii match muhimu kushinda
WanaCCM tena....? Nipo na shabiki mwanachama wa mzee wa ubwabwa hapa....naye almanusura anyanyuke lkn Msuva kamlet down...sema waTz sio wanaCCM....ndo mana mnafeli.Huyu msuva alikua awanyanyue wana ccm kwenye viti
Kimahesabu nafasi ya stars bado ipo,, maana wana point 4,, aliyepo nafasi ya pili ana point 6,, so inabidi wapambane kufa kupona dhidi ya hawa wawili waliowabakiza. Libya na Eq GuineaDah,, matokeo bado hayatupi nafasi kbsa ,,hii match muhimu kushinda
Warundi vpindi kama hivi ni rahsi sana kuwatambua !!Tunisia funga hao NEC FC
Match zilizobaki stars tupo away au nyumban??Kimahesabu nafasi ya stars bado ipo,, maana wana point 4,, aliyepo nafasi ya pili ana point 6,, so inabidi wapambane kufa kupona dhidi ya hawa wawili waliowabakiza. Libya na Eq Guinea