Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,096
- 9,511
Unajiabisha.View attachment 1834182
Foul play.
1. Morisson alimsukuma beki wa Azam kwenye duel.
2. Hata hivyo, beki wa Azam alimkimbiza na akawa karibu ya ku-sweep mpira (He won the duel).
3. Morisson kwa mara ya pili akamsukuma.
4. akaendelea mpaka kuweka mkono shingoni.
Naona vialama vyekundu sioni faulo hapo