Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:
Ndio maana watu weusi tunachukiwa sana na watu wa rangi zingine........tuko fit sana.....hiyo ngumi ikikutana na baniani o salale
Front page haisomeki, kazi kwelikweliHuyo mwenye blue tayari hana ya juu,
Sio meno haya haya mnalipa fedha kung'olewa hospitali? Kama hawa wanang'oana bure mbona ni faraja na huo ndio hasa urafiki.
BB Promotions wanatajajia kuandaa pambano la kirafiki kusheherekea mwaka mpya wa 2013 kati ya Bujibuji na alwatan Mbuzi Mzee, hakuna kiingilio. Hii ni kwa hisani ya Bumpkin Billionare.
Mdundano utaanza saa 8 usiku ndani ya ukumbi wa JF jukwaa la 'FOTO', kaburini sana
Pambano liwe tarehe 26 December........Boxing Day!
sipendi michezo ya kupigana
Ule mwingine?