Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,351
Mwajei: Dia nipo Kariakoo, kuna
jeans nimeiona nimeipenda
inauzwa efsalasin, ningenunua
sema wallet nmesahau, pls
nirushie tigopesa darling.
Beka: *150*01#...
TigoPesa: Umepokea Tsh 1000
toka kwa Beka.
Mwajei: Dia mbona buku tu?
Beka: Nauli, 500 kwenda home
kuchukua wallet, 500 kurudi kkoo
kuinunua. Vipi ni nyeusi?Maana
dia ukiwa kwenye nyeusi
unatokaga bomba sana, cant wait
to see u!!
jeans nimeiona nimeipenda
inauzwa efsalasin, ningenunua
sema wallet nmesahau, pls
nirushie tigopesa darling.
Beka: *150*01#...
TigoPesa: Umepokea Tsh 1000
toka kwa Beka.
Mwajei: Dia mbona buku tu?
Beka: Nauli, 500 kwenda home
kuchukua wallet, 500 kurudi kkoo
kuinunua. Vipi ni nyeusi?Maana
dia ukiwa kwenye nyeusi
unatokaga bomba sana, cant wait
to see u!!